Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza

Kuna kisa cha msafiri mmoja aliyeomba mahali pa kulala kwa mjumbe wa Serikali ya Mtaa ili kesho yake aendelee na safari yake. Alifika saa 5.00 usiku na kwa kuwa mjumbe alikuwa amekwisha kula, alichofanya ni kumwandalia msafiri huyo mahali pa kulala, basi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE

MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nchi sasa gizani siku saba.

NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]

The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI



Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa  bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee wasusa kula siku 2 wakimlilia RC Massawe

Kanali mstaafu Fabian MassaweWAZEE wasiojiweza na watoto yatima walioko katika Kituo cha Kiilima kilichoko Bukoba Vijijini, wamesema walilazimika kususa kula kwa siku mbili mwezi uliopita baada ya kupata habari za kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe.

 

10 years ago

Mwananchi

VYAKULA NA MAGONJWA: Ulaji unaofaa wa machungwa

>Kutokana na makala ya wiki iliyopita iliyohimiza watu kula matikiti na kutafuna mbegu zake, msomaji wetu mmoja alitaka kujua faida na hasara ya kutafuna mbegu za machungwa.

 

5 years ago

Michuzi

Johari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake

Wafanyakazi wa hoteli ya Johari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake, hii ni kuona mchango wa wanawake katika jamii.Mkurugenzi wa masoko wa hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam, Brigitte Alfred (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa mauzo ya hoteli Johari Rotana, Amina Kapya (kulia) na Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Brenda Msangi mara baada ya hafla ya chakula ya mchana iliyoandaliwa na hoteli hiyo kwa ajili ya kusheherekea siku wa wanawake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bei ya Juisi ya machungwa imepanda kwa aslimia 20

Bei juisi ya machungwa imekadiriwa kupanda kwa zaidi ya 20% mwezi huu kwani watu wanatafuta bidhaa zenye afya wakati huu wa janga la coronaviru

 

10 years ago

Mwananchi

‘Machungwa ya Tanga hayana sifa ya kuwa juisi’

Serikali imesema matunda yanayolimwa katika Mkoa wa Tanga licha ya kuwa ni mengi lakini bado hayana sifa ya kutengeneza juisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani