Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya Juisi ya machungwa imepanda kwa aslimia 20

Bei juisi ya machungwa imekadiriwa kupanda kwa zaidi ya 20% mwezi huu kwani watu wanatafuta bidhaa zenye afya wakati huu wa janga la coronaviru

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini bei ya juisi ya machungwa katika soko la dunia imepanda?

Watu wengi wameonekana kuwa na uhitaji wa maji ya machungwa kufuatia mlipuko wa virusi vya corona huku katazo la usafiri likiwa changamoto kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Machungwa ya Tanga hayana sifa ya kuwa juisi’

Serikali imesema matunda yanayolimwa katika Mkoa wa Tanga licha ya kuwa ni mengi lakini bado hayana sifa ya kutengeneza juisi.

 

9 years ago

Mtanzania

89 hoi kwa kunywa juisi harusini

Na Editha Karlo, Kigoma

WAKAZI 89 wa Kijiji cha Rugunga, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo, baada ya kunywa juisi ya kienyeji inayosadikiwa kuwa na sumu wakati wa sherehe ya harusi.

Tukio hilo limetokea Septemba 6, mwaka huu, baada ya watu hao kunywa juisi na kula chakula kilichoandaliwa katika sherehe hiyo.

Baada ya muda mfupi, waalikwa hao walianza kuumwa matumbo na kuharisha mfululizo hali iliyofanya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Idadi ya wakimbizi imepanda

Umoja wa mataifa umesema kuwa idadi ya watu waliolazimishwa kukimbia makao yao kutokana na vita au tishio la kuuawa imefika juu zaidi kuliko miaka yote.

 

9 years ago

Mwananchi

NBS: Thamani ya pato la taifa imepanda

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe nchini kingumnge Ngombale Mwiru kusema uchumi wa nchi unadumaa  Shirika la Taifa la Takwimu limesema thamani ya Pato la  Taifa imepanda  hadi kufikia asilimia 7.9  kwa kipindi cha mwezi  Januari hadi Juni, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

VYAKULA NA MAGONJWA: Ulaji unaofaa wa machungwa

>Kutokana na makala ya wiki iliyopita iliyohimiza watu kula matikiti na kutafuna mbegu zake, msomaji wetu mmoja alitaka kujua faida na hasara ya kutafuna mbegu za machungwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza

Kuna kisa cha msafiri mmoja aliyeomba mahali pa kulala kwa mjumbe wa Serikali ya Mtaa ili kesho yake aendelee na safari yake. Alifika saa 5.00 usiku na kwa kuwa mjumbe alikuwa amekwisha kula, alichofanya ni kumwandalia msafiri huyo mahali pa kulala, basi.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei...

 

11 years ago

Mwananchi

Uzuri wa juisi ya miwa

Inafurahisha kuona kuwa wapo wafanyabiashara wengi jijini Dar es Salaam wanaouza juisi ya miwa. Kimsingi juisi hii ni sukari halisia ambayo haijachakatwa. Sukari halisia ni nzuri kwa mwili kwani ina virutubisho na madini kwa wingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani