Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Idadi ya wakimbizi imepanda

Umoja wa mataifa umesema kuwa idadi ya watu waliolazimishwa kukimbia makao yao kutokana na vita au tishio la kuuawa imefika juu zaidi kuliko miaka yote.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wakimbizi duniani inatisha

Shirika la UNHCR, linasema idadi ya wakimbizi imeongezeka duniani na kuwa kubwa zaidi kushuhudiwa tangu vita vya pili vya dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani

Shirika la UNHCR, linasema idadi ya watu waliopoteza makao yao na kufanywa wakimbizi kutokana na vita ilipita milioni hamsini mwaka jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Mizozo yaongeza idadi ya wakimbizi

Kila siku watu takriban elfu thelathini wanatoroka makwao wakikimbia vita na vurugu. Umoja wa Mataifa unasema idadi hiyo imetokana na ongezeko la mizozo

 

9 years ago

Mwananchi

Idadi ya wakimbizi Kambi ya Nyarugusu yaongezeka

Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi wanaokimbia nchi yao na kuingia nchini Tanzania imefikia 91,661 hadi kufikia jana Jumanne.  Wakimbizi hao kwa sasa wamehifadhiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

 

9 years ago

Michuzi

IDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU

 Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya afya katika kituo cha Red Cross kinachotoa huduma za afya kwa wakimbizi walioko katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Shirika la Red Cross ni mojawapo ya wadau wanaoshirikiana na Serikali kutoa huduma za afya katika kambi ya Nyarugusu. Mkimbizi kutoka Burundi akipata huduma ya maji katika moja ya vituo vya maji vilivyojengwa katika Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu.  Huduma...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - IDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya afya katika kituo cha Red Cross kinachotoa huduma za afya kwa wakimbizi walioko katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Shirika la Red Cross ni mojawapo ya wadau wanaoshirikiana na Serikali kutoa huduma za afya katika kambi ya Nyarugusu.Mkimbizi kutoka Burundi akipata huduma ya maji katika moja ya vituo vya maji vilivyojengwa katika Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu. Huduma za...

 

9 years ago

Mwananchi

NBS: Thamani ya pato la taifa imepanda

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe nchini kingumnge Ngombale Mwiru kusema uchumi wa nchi unadumaa  Shirika la Taifa la Takwimu limesema thamani ya Pato la  Taifa imepanda  hadi kufikia asilimia 7.9  kwa kipindi cha mwezi  Januari hadi Juni, mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Bei ya Juisi ya machungwa imepanda kwa aslimia 20

Bei juisi ya machungwa imekadiriwa kupanda kwa zaidi ya 20% mwezi huu kwani watu wanatafuta bidhaa zenye afya wakati huu wa janga la coronaviru

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani