Nchi gizani kwa saa 12 wiki nzima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kukata umeme leo kwa mikoa inayotumia gridi ya taifa kwa wiki moja kwa saa 12 kila siku.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Felchesmi Mramba alitaja baadhi ya mikoa ambayo itakumbwa na tatizo hiyo kuwa ni Dar es Salaam, Mbeya, Lindi, Mwara, Mwanza, Arusha na mingine.
Alikuwa akizungumza na wandishi wa habari jana kwenye ziara ya kutembelea mitambo ya Kinyerezi na Ubungo, Dar es Salaam.
“Umeme...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Nchi sasa gizani siku saba.
NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]
The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
AHADI YA RAIS MAGUFULI KWA MAAFISA TARAFA YATIMIA, WAPATIWA PIKIPIKI NCHI NZIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JM63Za61XrM/XnJBFdsG7yI/AAAAAAALkPE/NmBpICr9gMsCtPCByvGC6tLrx2R42hB6wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.17.23%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s20ymjmrCUg/XnJBFu1xTjI/AAAAAAALkPM/Wo35gqApwZwVfrf50c9C96IMi-ttvt7fwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.18.29%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Njoo upunguze ‘stress’ za wiki nzima kwa burudani ya ‘Live Music’ na Skylight Band leo @Thai Village-Masaki
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi.
It’s Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band,
Karibuni sana tuanze weekend yetu na burudani ya muziki wa live#
Come and...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s72-c/_MG_0867.jpg)
WASANII WA BONGO MOVIE WAIBUKIA MJINI IRINGA,WATANGAZA KUTEMBEA NCHI NZIMA KWA BAJAJ KUMUUNGA MKONO DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s640/_MG_0867.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qzfK2bg9x84/Vgl8ZqvqdsI/AAAAAAAC_44/6xkcATSnOzQ/s640/_MG_0851.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Wasanii wa Bongo Movie waibukia mjini Iringa, watangaza kutembea nchi nzima kwa Bajaj kumuunga mkono Dkt. Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s640/_MG_0867.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-djrcm5f4eCg/Vgl8U1N5K5I/AAAAAAAC_4I/hF6jDVL7J1o/s640/_MG_0773.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10