Wasanii wa Bongo Movie waibukia mjini Iringa, watangaza kutembea nchi nzima kwa Bajaj kumuunga mkono Dkt. Magufuli
Baadhi ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa tatu kushoto),kuonesha kuwa wasanii hao wanamuunga mkono Dkt Magufuli katika mbio zake za kuusaka Urais kwa kutembea nchi nzima kutumia Bajaji zao tano,ambapo Bajaj mojawapo itakuwa na kazi ya kukusanya kadi za wale wanaomua kurudi/kujiunga na chama cha CCM.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-IRINGA
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s72-c/_MG_0867.jpg)
WASANII WA BONGO MOVIE WAIBUKIA MJINI IRINGA,WATANGAZA KUTEMBEA NCHI NZIMA KWA BAJAJ KUMUUNGA MKONO DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s640/_MG_0867.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qzfK2bg9x84/Vgl8ZqvqdsI/AAAAAAAC_44/6xkcATSnOzQ/s640/_MG_0851.jpg)
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s640/_MG_0867.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s72-c/IMG_20151209_094857.jpg)
WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s640/IMG_20151209_094857.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d5nb5p4lo8Y/VmgGArjVQ3I/AAAAAAAABP0/G96NDXp7hoo/s640/IMG_20151209_095033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXzQPNeFbEI/VmgGflq4QUI/AAAAAAAABQU/Pq0c_mofV2M/s640/IMG_20151209_100256.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Vijana waanzisha Club kumuunga mkono Dkt. Magufuli
Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q8cMkcAPqMM/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Wasanii wa Injili kumuunga mkono Makamba
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s72-c/PIX1a.jpg)
VIJANA WAANZISHA CLUB KUMUUNGA MKONO DKT. MAGUFULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s640/PIX1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HV5YpfKyULQ/VgoMNhZVR-I/AAAAAAAH7qA/vBm3X7A4u_w/s640/PIX2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mzee Mghuma: “Watanzania wahimizwa kumuunga mkono Dk. Magufuli”
Mzee Mughuna Mtatuu Mdimi (64) mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu wilaya ya Singida mkoa wa Singida, awahimiza Watanzania kuweka kando tofauti zao za kisiasa na badala yake wamuunge mkono rais Dk.John Pombe Magufuli,katika kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi. (Picha na Nathaniel Limu).
Mkulima na mkazi wa kijiji cha Ghalunyangu tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida mkoani hapa, Mughuna Mtatuu Mdimi (85), amewasihi Watanzania wote kuweka pembeni itikadi zao za kisiasa,na...