Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd, Edward Maduhu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mradi wa kutengeneza madawti hayo na changamoto ya kukwamishwa kwa mradi huo na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watendaji wa serikali. Kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Shule za St Marys, Didas Mhoja na Kushoto ni Mmoja wa Wakurugenzi wa kampuni hiyo, Jonas Mnzava.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVYANDARUA MILIONI 24 KUGAIWA BURE NCHI NZIMA
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
RHMI kutoa huduma ya kiroho nchi nzima
TAASISI inayotoa huduma za kijamii na kiroho za kimataifa (RHMI) wamezindua mkakati wa kuzunguka nchi nzima katika kutekeleza utoaji wa huduma ya kijamii na kiroho. Akizungumza katika uzinduzi wa huduma...
10 years ago
GPLKAMPUNI YA OFF GRID ELETRIC KUFUNGA UMEME WA SOLA NYUMBA MILIONI MOJA NCHINI
11 years ago
Michuzi24 Jun
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Nchi gizani kwa saa 12 wiki nzima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kukata umeme leo kwa mikoa inayotumia gridi ya taifa kwa wiki moja kwa saa 12 kila siku.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Felchesmi Mramba alitaja baadhi ya mikoa ambayo itakumbwa na tatizo hiyo kuwa ni Dar es Salaam, Mbeya, Lindi, Mwara, Mwanza, Arusha na mingine.
Alikuwa akizungumza na wandishi wa habari jana kwenye ziara ya kutembelea mitambo ya Kinyerezi na Ubungo, Dar es Salaam.
“Umeme...
11 years ago
Michuzi
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege

MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...
11 years ago
Dewji Blog21 Jun
EOTF kutoa Mafunzo kwa Wanawake Wajasiriamali bure
Mkurugenzi Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi, ni mmoja wa watoa mada katika semina hiyo.
Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) utaendesha Semina ya mafunzo ya siku 3 kwa Wanawake Wajasiriamali itakayofanyika kuanzia tarehe 23 hadi tarehe 25 Juni 2014, kuanzia saa 2 asubuhi katika ukumbi wa JKT Mgulani, Temeke,jijini Dar es salaam. Lengo la mafunzo haya kwa mwaka huu ni kuwaelimisha wanawake jinsi ya kupata mitaji kwa ajili ya biashara, masoko pamoja na stadi za ujasiriamari. Katika...
10 years ago
Vijimambo23 Mar
Madaktari Kutoa huduma bure kwa watoto Tanzania.

10 years ago
Vijimambo
Dakika moja na nusu ya michano mikali kutoka kwa Ay ‘El Chapo’ isikilize hapa.
