Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika moja na nusu ya michano mikali kutoka kwa Ay ‘El Chapo’ isikilize hapa.

Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Ay can still do it kwenye rap kama alivyothibitisha kwenye El Chapo iliyorekodiwa na Marco Chali. Sauti ya Jokate pia ipo kwenye Clip hii

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa

dj kflip

Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.

Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...

 

9 years ago

Bongo5

Trey Songz aachia mixtape mpya ‘Kwa Yeyote Anayehusika’, isikilize yote hapa

trey

Baada ya Chris Brown, Rick Ross, Lil Wayne na wengine kuachia mixtape zao hivi karibuni, Muimbaji wa RnB, Trey Songz na yeye ametoa ya kwake.

trey

Trey Songz ameachia mixtape yake inayoitwa ‘To Whom It May Concern’ (Kwa yeyote anayehusika) kwenye siku yake ya kuzaliwa Nov. 28 ambapo sasa amefikisha umri wa miaka 31.

TO WHOM IT MAY CONCERN TRACKLISTING

1. “Blessed” (prod. by Mano)
2. “Everybody Say” feat. MIKExANGEL and Dave East (prod. by Mano)
3. “Walls” feat. MIKExANGEL and Chisanity (prod. by...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimya cha dakika moja kwa wandishi

Wandishi wa BBC waliungana na wenzao wa kimataifa kukaa kimya kwa dakika moja kupinga hukumu dhidi ya wandishi wa Al Jazeera.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Moja kwa moja kutoka mahakamani

Kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imeanza nchini Afrika Kusini. Tazama moja kwa moja kutoka mahakamani

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yatoa ngoma “Pasua Twende” isikilize hapa!

10514673_338168816341103_5043683657096333091_n

Bendi Mahiri na Machachari  Jijini Dar Skylight Band wametoa wimbo wao wa Tano ikiwa ni muendelezo  wa kutoa nyimbo tofauti tofauti kupitia Studio yao ya kisasa ya Skylight Production.

Akiongea na Mtandao huu Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK47 amesema wimbo huo unaitwa “Pasua Twende” ambo umetungwa na Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Dk. Sebastian Ndege akishirikiana na wanamuziki wa Bendi hiyo.

Aneth akaongezea kwamba wimbo huo ni wa tano kutolewa katika mtiririko wa nyimbo zao...

 

9 years ago

Global Publishers

Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd, Edward Maduhu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mradi wa kutengeneza madawti hayo na changamoto ya kukwamishwa kwa mradi huo na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watendaji wa serikali. Kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Shule za St Marys, Didas Mhoja  na Kushoto ni  Mmoja wa Wakurugenzi wa kampuni hiyo, Jonas Mnzava.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani