Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Skylight Band yatoa ngoma “Pasua Twende” isikilize hapa!

10514673_338168816341103_5043683657096333091_n

Bendi Mahiri na Machachari  Jijini Dar Skylight Band wametoa wimbo wao wa Tano ikiwa ni muendelezo  wa kutoa nyimbo tofauti tofauti kupitia Studio yao ya kisasa ya Skylight Production.

Akiongea na Mtandao huu Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK47 amesema wimbo huo unaitwa “Pasua Twende” ambo umetungwa na Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Dk. Sebastian Ndege akishirikiana na wanamuziki wa Bendi hiyo.

Aneth akaongezea kwamba wimbo huo ni wa tano kutolewa katika mtiririko wa nyimbo zao...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video/Audio: Skylight Band — Pasua Twende

Huu ni ujio mpya wa Skylight Band hii ni Single na Video mpya inaitwa “Pasua Twende” imefanyika kwenye studio zao za Skylight Production

 

11 years ago

CloudsFM

Brand new Video: Skylight Band - Pasua Twende

Habari mpya kwasasa kutoka SkyLight Band ni Pasua Twende, hii ni video yao mpya na imefanyika kwenye studio zao za Skylight Production….

 

11 years ago

Michuzi

SKYLIGHT BAND WAACHIA KIBAO KIPYA "PASUA TWENDE"

Bendi Mahiri na Machachari Jijini Dar Skylight Band wametoa wimbo wao wa Tano ikiwa ni muendelezo wa kutoa nyimbo tofauti tofauti kupitia Studio yao ya kisasa ya Skylight Production.Akiongea na Mtandao huu Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK47 amesema wimbo huo unaitwa “Pasua Twende” ambo umetungwa na Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Dk. Sebastian Ndege akishirikiana na wanamuziki wa Bendi hiyo.Aneth akaongezea kwamba wimbo huo ni wa tano kutolewa katika mtiririko wa nyimbo zao zilizokwisha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band leo kuzindua wimbo wao mpya “Pasua Twende” ndani yak iota cha Thai Village

Vijana machachari wa Skylight Band Kutoka kushoto Donode, Digna Mbepera, Sony Masamba na Mary Lucos wakitoa Burudani kwa mashabiki wao ndani ya Thai Village,USikose Leo kutakuwa pia na Uzinduzi wa Wimbo wao mpya PASUA TWENDE Itakuwa hapatoshiii.

Weweeee Usicheze na Sony masamba(katikati)akiyarudi mauno safi kabisaaaa kuwapa burudani wapenzi wa Skylight ndani ya Thai Village.

Hapo hapooo Taratibuuuu weweee Sam Mapenzi akiyarudi mastep ndani ya Thai Village Sony Masamba akifuahiii na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tujumuike Pamoja leo kucheza wimbo mpya wa Skylight Band “Pasua Twende” kiota cha maraha Thai Village jijini Dar

Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya “PASUA TWENDE”

DSC_0078

Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0099

Vijana wa Skylight Band wakijimwaga na sebene, kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi.

DSC_0102

Sio kwamba wanaanguka la hasha ni mbewembwe za Majembe ya Skylight Band katika kutoa burudani kwa mashabiki wao.

DSC_0118

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yazidi kukubalika na mashabiki, leo kuzindua wimbo wao mpya “Pasua Twende” ndani yak iota cha Thai Village

Vijana machachari wa Skylight Band Kutoka kushoto Donode, Digna Mbepera, Sony Masamba na Mary Lucos wakitoa Burudani kwa mashabiki wao ndani ya Thai Village,USikose Leo kutakuwa pia na Uzinduzi wa Wimbo wao mpya PASUA TWENDE Itakuwa hapatoshiii.

Weweeee Usicheze na Sony masamba(katikati)akiyarudi mauno safi kabisaaaa kuwapa burudani wapenzi wa Skylight ndani ya Thai Village.

Hapo hapooo Taratibuuuu weweee Sam Mapenzi akiyarudi mastep ndani ya Thai Village Sony Masamba akifuahiii na...

 

11 years ago

GPL

TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR‏

Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya "PASUA TWENDE" Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yatoa ratiba yake ya wiki tukianza na mkesha wa X-MASS usiku wa leo ndani ya Escape One

10675565_408778115946839_5013196848087740184_n

24.12.14 Mkesha wa XMASS tutakua ESCAPE1, show itaanzaa saa mbili usiku, kiingilio buku 7000/= tu: tukutane ESCAPE1 tuikaribishe XMASS

Vile vile tunapenda kutoa taarifa na kuwaomba radhi wadau wetu kutokana na safari yetu ya kanda ya ziwa XMASS hii, show zetu za ijumaa tarehe 26.12.14 thai village na jumapili 28.12.14 ESCAPE1 hazitofanyika.

Ila tukutane tena kwenye mkesha wa mwaka mpya 31.12.14 ndani ya ESCAPE1. .. Burudika na bendi yako katika msimu huu wa siku kuu…Skylight Band…just...

 

10 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND YAITAKIA MSONDO NGOMA BAND HERI YA MIAKA 50 !

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, The  Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni almarufu pia kama viumbe wa ajabu Anunnaki Aliens wenye makao nchi Ujerumani, inatuma salamu na saluti za kuitakia heri ya miaka 50 bendi kongwe barani afrika MSONDO NGOMA MUSIC BAND aka Baba ya Muziki ya watanzania ambayo mwezi Oktoba 2014 itatimiza miaka 50 na kuweka rekodi ya kuwa bendi kongwe pekee barani Afrika ! 
Kiongozi wa Ngoma Africa band Kamanda Ras Makunja, anaitaja bendi ya Msondo Ngoma ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani