Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VYANDARUA MILIONI 24 KUGAIWA BURE NCHI NZIMA

 Kaimu Katibu Mkuu wa  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Michael John akiandika maswali aliyeulizwa na waandisshi wa habari (hawapo pichani ) juu ya maadhimisho ya siku ya malaria duniani iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini ,Dar es Salaam,Kushoto ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani-Tanzania,Dk.Ritha Njau,Kulia ni Naibu Mkurugezi Kituo cha Utafiti cha Ifakara,Dk.Abdulrazq Badru. Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Michael John akizungumza na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd, Edward Maduhu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mradi wa kutengeneza madawti hayo na changamoto ya kukwamishwa kwa mradi huo na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watendaji wa serikali. Kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Shule za St Marys, Didas Mhoja  na Kushoto ni  Mmoja wa Wakurugenzi wa kampuni hiyo, Jonas Mnzava.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd,...

 

11 years ago

Habarileo

Familia 1,500 kunufaika na vyandarua vya bure

FAMILIA 1,500 katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza zitanufaika na vyandarua vya bure vya kujikinga na ugonjwa wa malaria vitakavyotolewa na Shirika la Lake Victoria Children Centre (LVC).

 

9 years ago

Michuzi

mpango wa kugawia wanafunzi vyandarua bure waanza mikoa la lindi, mtwara na ruvuma

Baadhi ya wanafunzi waliopata vyandarua katika  programu ya Rais ya uhamasishaji wa matumizi ya vyandarua kuzuia malaria kwa wananchi, ikiwa ni pamoja na ugawaji wa vyandarua bure kupitia mashuleni imeanzia katika  mikoa ya Lindi , Mtwara na Ruvuma mwezi huu. Waalimu wakijiandaa kugawa vyandarua katika shule mkoani LindiWanafunzi wakichukua vyandarua kwa zamuWanafunzi wakifurahi kwa kupatiwa vyandarua vya bure

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Bomoabomoa nchi nzima

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa kusambaa nchi nzima

 Siku moja baada ya kususia Bunge, wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wametangaza kuanza utaratibu wa kuzungumza na wananchi juu ya kilichotokea na kinachoendelea bungeni.

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda zabanwa nchi nzima

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera SensoPOLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.

 

10 years ago

GPL

ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA

STORI:  Mwandishi Wetu TUKUBALI tukatae, sakata la fedha kiasi cha Sh. bilioni 306 zilizochotwa kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limeipasua nchi, Risasi Jumamosi limegundua. Waziri mkuu Mizengo Pinda. Escrow imeipasua nchi kufuatia majadiliano ya waheshimiwa wengi kuanzia juzi, Alhamisi kuonekana kila mmoja ana upande wake huku wapiga kura wao nao wakiwa kinyume na wawakilishi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walimu kuandamana nchi nzima

BARAZA la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT), limetoa siku 14 kwa wakurugenzi wa halmshauri nchini kuwapa barua za kuwapandisha vyeo walimu wanaostahili la sivyo watafanya maandamano nchi nzima....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani