Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maisha halisi ya Jaydee - 4

 Kwa wiki nzima mfululizo, lejendi huyu ameweza kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki wake, kolabo za ndani na nje ya nchi, maisha yake halisi, bendi anayomiliki, vitu anavyovipenda na mambo yake asiyopenda kujishughulisha nayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUAMBIANA; STAA ALIYEISHI MAISHA YAKE HALISI!

JEMBE limeondoka! Ndiyo... ilikuwa unaweza kumfananisha Adamu Kuambiana na jembe kwenye kilimo! Jembe likikosekana, maana yake mkulima hawezi kuendelea kulima na mwisho wake ni kukosa mazao.Ni siku ya tano sasa tangu Adam atutoke. Kwenye tasnia ya sinema ni pigo kubwa. Marehemu Kuambiana alifariki ghalfa, Jumamosi ya Mei 17, mwaka huu akiwa njiani akipelekwa hospitalini. Msanii huyo alikutwa ameanguka chooni asubuhi hiyo, muda...

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV

Mchungaji Essie Cannon akiongoza ibada ya kumbukumbu na shukurani ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard W. Kente aliyefariki February 1, 2015 Tanzania. Ibada ya kumbukumbu ilifanyika katika kanisa la Universal Holiness lililopo Washington, DC nchini Marekani.Deo Mosha akisoma wasifu wa marehemu Mr. Wilbard Kente katika ibada ya kumbukumbu na shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC nchini Marekani.Abba Genes akisoma somo.Jerminr Shelukindo akisoma somo.Henry Kente...

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

11 years ago

Mwananchi

Majina halisi ya wachezaji wa Brazil

Kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Brazil, mshambuliaji Neymar anatumia jina moja tu kwenye jezi yake. Jina lake halisi ni Neymar da Silva Santos Junior.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je sura halisi ya Yesu ilikuwa ipi ?

Uso wa Yesu umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti kuhusu uchaguzi ujao ni halisi?

Utafiti uliofanywa na Taasisi huru ya TWAWEZA kuelekea uchaguzi mkuu ujao nchini Tanzania umepokelewa kwa hisia tofauti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani