Je sura halisi ya Yesu ilikuwa ipi ?
Uso wa Yesu umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/krb-bwBAaO4/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Hawa ni CHADEMA ipi?
NILIWAHI kuandika makala mwanzoni mwa mwaka huu kusifu msimamo thabiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama Kabwe Zitto na kuwafukuza uanachama makada...
11 years ago
BBCSwahili13 May
Je timu ya mwisho duniani ni ipi ?
Zaidi ya Muongo mmoja tangu ishindwe mabao 31-0 na Australia ,Samoa imeimarika na kusajili ushindi wa kwanza katika miaka 17.
10 years ago
TheCitizen30 Jan
‘The EastAfrican’ ban angers IPI
>The International Press Institute (IPI) has condemned the government’s ban on the regional weekly The EastAfrican.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2O3nDPiHpAup2lMcYZglrJE62MzZ5256i-*gOlSan2Y9ZtdxGIb5jABklrcrNFi*7hDW2awx3VxhR-fbiCqCfWr/feki.jpg?width=650)
NABII: HUYU SI YESU
Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Azma ya Rais Nkurunziza ni ipi mwakani?
Huku uchaguzi mkuu ukitarajiwa kufanyika Burundi mwakani, je rais Nkurunziza atahudumu zaidi baada ya miaka kumi uongozini?
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
Filamu ipi itang'aa kwenye Baftas?
Gravity, 12 Years a Slave na American Hustle iliyopigwa marufuku Kenya- Filamu ipi itabeba tuzo nyingi London usiku wa leo?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania