Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je sura halisi ya Yesu ilikuwa ipi ?

Uso wa Yesu umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

10 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hawa ni CHADEMA ipi?

NILIWAHI kuandika makala mwanzoni mwa mwaka huu kusifu msimamo thabiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama Kabwe Zitto na kuwafukuza uanachama makada...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je timu ya mwisho duniani ni ipi ?

Zaidi ya Muongo mmoja tangu ishindwe mabao 31-0 na Australia ,Samoa imeimarika na kusajili ushindi wa kwanza katika miaka 17.

 

10 years ago

TheCitizen

‘The EastAfrican’ ban angers IPI

>The International Press Institute (IPI) has condemned the government’s ban on the regional weekly The EastAfrican.

 

11 years ago

GPL

NABII: HUYU SI YESU

Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Azma ya Rais Nkurunziza ni ipi mwakani?

Huku uchaguzi mkuu ukitarajiwa kufanyika Burundi mwakani, je rais Nkurunziza atahudumu zaidi baada ya miaka kumi uongozini?

 

11 years ago

BBCSwahili

Filamu ipi itang'aa kwenye Baftas?

Gravity, 12 Years a Slave na American Hustle iliyopigwa marufuku Kenya- Filamu ipi itabeba tuzo nyingi London usiku wa leo?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani