NABII: HUYU SI YESU

Stori: MAKONGORO OGING’ Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
NABII ALISHWA SUMU
10 years ago
Vijimambo
MAUL I'D YA NABII MUHAMMAD


Assalam Alaykum,
Jumuiya ya waislamu DMV (TAMCO) Inakujulisha kwamba Maulid ya Mfungo Sita ya TAMCO yatakuwa Sat Jan 3, 2015.Kuanzia 2pm Sharp.
Hall: Argyle Local Park1030 Forest Glen Road, Silver Spring, MD 20901
Tunaomba ukipata Taarifa hii Uwajulishe Wengine. Shukran.
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Yesu alizaliwa wakati gani?
“TAREHE mahsusi na muafaka ambayo Yesu Kristo alizaliwa haijulikani,” kinasema kitabu cha Encyclopedia of Early Christianity. Hata hivyo, mamilioni ya watu ulimwenguni husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Desemba 25. Lakini tarehe hiyo...
11 years ago
GPL
YESU FEKI AITIKISA DUNIA
10 years ago
GPL
NABII ATANGAZA VITA NA MAHAWARA
10 years ago
GPL
NABII: URAIS 2015 BALAA!
11 years ago
GPL
NABII: EBOLA HAUTAINGIA TANZANIA
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa?