Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YESU FEKI AITIKISA DUNIA

Stori: Jelard Lucas na Mtandao
SHETANI bado anazidi kuwasakama Wakristo duniani. Hii ni baada ya mkazi wa Kijiji cha Alvaro Thesiss, Santa Catarina nchini Brazil, Mtume Inri Cristo (66) mwanzilishi wa Kanisa la Waraka Mweusi (Suprema Ordem Universal da Santíssima Trindade ‘Soust’), miaka 35 iliyopita kujitangaza kuwa yeye ni Yesu Kristo amerudi kuja kuwaokoa wanadamu baada ya kusubiriwa kwa miaka mingi. Mtume...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

uzushi wa kifo feki cha muigizaji Will Smith watikisa dunia

Taarifa za kifo cha mwigizaji nguli wa Marekani Will Smith zilisambaa kama moto nyikani mapema wiki hii, na kusababisha mtafaruku kwa mashabiki wake duniani kote. Hata hivyo taarifa ya jana Ijumaa February 21, 2014 zimethibitisha kuwa habari hizo za uzushi na uwongo ni mojawapo ya nyingi zinazohusisha watu maarufu.  Kwa mujibu wa uchunguzi wa kina uliofanywa na Globu ya Jamii, ukweli ni kwamba mwigizaji huyo aliyetamba katika filamu kadhaa ziiwemo The Pursuit of Happyness, Men in Black...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwashiuya aitikisa Mbozi

Mwashiuya… Mwashiuya….. ndilo jina la mchezaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya lililotawala kinywani mwa mashabiki waliofurika kwenye Uwanja wa CCM-Vwawa Mbozi, kushuhudia mechi ya kirafiki baina ya timu hiyo dhidi ya Kimondo iliyochezwa mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli aitikisa Muhimbili

John+Magufuli+PHOTO*Uongozi wahaha siku za mapumziko

* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo   na viongozi wao kufanya kazi hadi  siku za mapumziko.

Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI AITIKISA DAR LEO

Mhe Magufuli akionesha fomu za kugombea urais mwaka 2015 na Mgombea mwenza, Samiah Suluhu (kulia) wakiwa nje ya Ofisi za NEC mara baada ya kuchukua fomu. Wagombea hao wakiwa njiani kuelekea Ofisi za CCM zilizopo Barabara ya Lumumba, Dar.…

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AITIKISA CHADEMA KWIMBA


Mwenyekiti wa Kijiji kutoka  Chadema ajiuzulu  nakujiunga na CCM Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kwimba Ndugu Petro Ngh'ingi wakati wa mapokezi kwenye kijiji cha Mwamaya kata ya Hungumalwa Pichani kati ni Katibu wa CCM Wilaya ya Kwimba Bi.Tabu Lugwesa.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor wakati wa mapokezi kwenye kijiji cha Mwamaya kata ya Hungumalwa wilaya ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bonny Mwaiteje aitikisa Diamond Jubilee

????????????????????????????????????

Mwimbaji nguli wa muziki wa injili Bonny Mwaitege akiimba katika uzinduzi wa albam zake kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana, uzinduzi ambao ulihudhuriwa na maelefu ya wapenzi wa muziki wa ijini akishirikiana na waimbaji mbalimbali wa muziki huo ikiwa ni pamoja na baadhi ya kwaya kutoka katika baadhi ya makanisa ya jijini Dar es salaam, Bonny Mwaiteje alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa ikwango kikubwa huku akiwa amevalia vazi la Kingigeria wakati akiwa jukwaani,...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AITIKISA MWANZA, HAIJAWAHI TOKEA!

Njemba mmoja akipiga push up wakati msafara wa Dk Magufuli ukipita. Dada akimfagilia njia Magufuli Afande akimtoa barabarani mdada aliyekuwa akifagia barabara ili Magufuli apite pakiwa safi.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Bella aitikisa DARLIVE usiku wa nani kama Mama

DALLIVE15

Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

DALLIVE2

Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.

Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.

Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.

DALLIVE3

Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).

Christian...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani