Mwashiuya aitikisa Mbozi
Mwashiuya… Mwashiuya….. ndilo jina la mchezaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya lililotawala kinywani mwa mashabiki waliofurika kwenye Uwanja wa CCM-Vwawa Mbozi, kushuhudia mechi ya kirafiki baina ya timu hiyo dhidi ya Kimondo iliyochezwa mwishoni mwa wiki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Mar
KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWBnXhu1xq6Ov7xOBb*9RWrBEYGfaF0w7Caoq2ns8DgOE2MsuwuFVAFu16BkhOjzzXUcATNuctGtzFvcZFFywSo/slaa4.jpg?width=650)
DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA
10 years ago
Vijimambo08 Jul
Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jonas-8July2015.jpg)
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.
Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.
Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s72-c/kk.png)
Klabu ya Kimondo Super Sports yaijia juu yanga kwa usajili wa mchezaji wake Geofrey Bahati Mwashiuya
![](http://2.bp.blogspot.com/-g55acd_ZP6o/VZmBbwFzBmI/AAAAAAAHnLI/O96jVgF3zCo/s400/kk.png)
Klabu inasikitishwa saana na habari/taarifa zenye mkanganyiko zinazotolewa na msemaji wa timu ya Yanga,Katibu wa timu ya Yanga na mchezaji wetu Geofrey Mwashiuya katika vyombo mbalimbali vya habari;Jerry Muro alisikika katika vyombo vya habari akijinadi...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Magufuli aitikisa Muhimbili
*Uongozi wahaha siku za mapumziko
* Sefue leo kufanya ukaguzi, kufuatilia maagizo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UAMUZI wa Rais Dk. John Magufuli kumng’oa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Hussein Kidanto, umesababisha wafanyakazi wa hospitali hiyo na viongozi wao kufanya kazi hadi siku za mapumziko.
Hatua hiyo imekuja wiki chache baada ya Dk. Magufuli, kufanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo, Novemba 9 ikiwa ni ziara yake ya pili baada ya ile...
10 years ago
GPLMAGUFULI AITIKISA DAR LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1yX18EX7hwgjzav0KiosUYxIluVcvHR51mFTyn*wXAdwaytJjZQq1xd*QzqdzAJVPWVPFsInuCzLG8S44wj5gY/YESUFEKI.jpg?width=650)
YESU FEKI AITIKISA DUNIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HRsroybOikc/VYpyZh-aYII/AAAAAAAAfcE/vKNG-S9RnRk/s72-c/1.jpg)
KINANA AITIKISA CHADEMA KWIMBA
Mwenyekiti wa Kijiji kutoka Chadema ajiuzulu nakujiunga na CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HRsroybOikc/VYpyZh-aYII/AAAAAAAAfcE/vKNG-S9RnRk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CigJpKZEpUs/VYpyaj-s1gI/AAAAAAAAfcM/2mkEw7xIfhk/s640/2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mshakaji-akipiga-push-up-wakati-msafara-ukipita.jpg)
MAGUFULI AITIKISA MWANZA, HAIJAWAHI TOKEA!