Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bonny Mwaiteje aitikisa Diamond Jubilee

????????????????????????????????????

Mwimbaji nguli wa muziki wa injili Bonny Mwaitege akiimba katika uzinduzi wa albam zake kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana, uzinduzi ambao ulihudhuriwa na maelefu ya wapenzi wa muziki wa ijini akishirikiana na waimbaji mbalimbali wa muziki huo ikiwa ni pamoja na baadhi ya kwaya kutoka katika baadhi ya makanisa ya jijini Dar es salaam, Bonny Mwaiteje alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa ikwango kikubwa huku akiwa amevalia vazi la Kingigeria wakati akiwa jukwaani,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Alex Msama: Maandalizi ya uzinduzi wa albam ya Bonny Mwaiteje yamekamilika

????????????????????????????????????

Mkurugenzi wa Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu Uzinduzi wa albam ya muimbaji wa nyimbo za injili Bonny Mwaiteje utakaofanyika jumapili kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, uzinduzi huo utashirikisha mwimbaji wa nyimbo za kutoka Zambia Ephraim Sekereti Faustine Munishi pia atashiriki kwenye uzinduzi huo na waimbaji wengine wengi kutoka hapa nchini.

Fedha zitakazopatikana katika uzinduzi huo zitanunua baiskeli kwa ajili ya kuwapatia...

 

10 years ago

Vijimambo

ALEX MSAMA:MAANDALIZI YA UZINDUZI WA ALBAM YA BONNY MWAITEJE YAMEKAMILIKA

????????????????????????????????????Mkurugenzi wa Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu Uzinduzi wa albam ya muimbaji wa nyimbo za injili Bonny Mwaiteje utakaofanyika jumapili kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, uzinduzi huo utashirikisha mwimbaji wa nyimbo za kutoka Zambia Ephraim Sekereti Faustine Munishi pia atashiriki kwenye uzinduzi huo na waimbaji wengine wengi kutoka hapa nchini Fedha zitakazopatikana katika uzinduzi huo zitanunua baiskeli kwa ajili ya kuwapatia...

 

11 years ago

GPL

MAONYESHO YA UTURUKI NA TANZANIA YAFANYA DIAMOND JUBILEE

Ally Faat kutoka Uturuki akiwa katika maonyesho hayo.
Bi Shamsa akionyesha vyakula vya aina mbalimbali. Hizi ni bidhaa za asili za Tanzania.…

 

10 years ago

GPL

SHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akiwa na mpenzi wake, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ndani ya Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo. Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akifanya yake.…

 

9 years ago

Michuzi

ROSE MUHANDO KUNOGESHA TAMASHA LA KUSHUKURU DIAMOND JUBILEE


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa matamasha ya muziki wa injili nchini Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati alipofafanua mambo mbalimbali kuhusu maandalizi ya tamasha la kushukuru baada ya kufanyika na  kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Tanzania salama salimini.

Msama amesema maandalizi yanaendelea vizuri na amemtangaza rasmi mwimbaji Rose Muhando kama mmoja wa waimbaji wa muziki wa injili watakaoshiriki katika tamasha hilo,  ...

 

10 years ago

Vijimambo

BIRTHDAY PARTY YA DIAMOND PLATNUMZ ILIYOFANYIKA GOLDEN JUBILEE

Diomond Platnumz akiingia na Wema kwenye Red Carpet Golden Jubilee kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa Oct 2, 2014.Wema Sepetu akimpeti peti Diamond wakiwa ndani ya mjengo wa Golden Jubilee kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Diaomond PlatnumzNi kula bata mpaka kuku wanaona wivu Diamond na baby wake Wema wakisherehekea siku ya kuzaliwa ya msanii huyo.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya bidhaa za Kichina yazinduliwa rasmi Diamond Jubilee

Mh Kigoda pamoja na Balozi wa China Mh Lu Youging wakikata utepe kufungua maonesho ya bidhaa za china

Mh Kigoda pamoja na Balozi wa China Mh Lu Youging wakikata utepe kufungua maonesho ya bidhaa za china.

Waziri wa Viwanda Mh Abdal Kigoda akipeana mkono na balozi wa china Lu Youging ishara ya ushirikiano

Waziri wa Viwanda Mh Dr. Abdallah Kigoda akipeana mkono na balozi wa china Lu Youging ishara ya ushirikiano.

Waziri wa Viwanad na biashara Mh Abdala Kigoda akifungua maonesho ya bidhaa za kichina

Waziri wa Viwanda na biashara Mh Dr. Abdallah Kigoda akifungua maonesho ya bidhaa za kichina.

Meneja Uwekezaji wa Ndani Tanzania Mathew Mnali akihutubia katika mkutano huo.

Meneja Uwekezaji wa Ndani Tanzania Mathew Mnali akihutubia katika mkutano huo.

Mkutano wa uwekezaji baina ya

Mkutano wa uwekezaji baina ya China na Tanzania.

Wananchi kutoka nchini China katika kongamano la uwekezaji.

Wananchi kutoka nchini China katika kongamano la...

 

10 years ago

Michuzi

MUDDY MATUMLA, MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE

Bondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitunishiana misuli na Mohamed "Mudy" Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond jubileeBondia Wang Xin Hua kutoka China 'kushoto'  wakitazamana kwa usongo  na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa Diamond jubilee katikati ni Jay Msangi Promota wa mpambano huo.
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi 'Jiwe Gumu'...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUMSHUKURU MUNGU SASA KUFANYIKA DESEMBA 25 DIAMOND JUBILEE.

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akifafanua jambo kwa umakini mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati wa Uchaguzi Mkuu litakalofanyika Desemba 25.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani