Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akiwa na mpenzi wake, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ndani ya Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo. Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akifanya yake.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BIRTHDAY PARTY YA DIAMOND PLATNUMZ ILIYOFANYIKA GOLDEN JUBILEE

Diomond Platnumz akiingia na Wema kwenye Red Carpet Golden Jubilee kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa Oct 2, 2014.Wema Sepetu akimpeti peti Diamond wakiwa ndani ya mjengo wa Golden Jubilee kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Diaomond PlatnumzNi kula bata mpaka kuku wanaona wivu Diamond na baby wake Wema wakisherehekea siku ya kuzaliwa ya msanii huyo.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahma Kinana alipokuwa anawasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi...

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND PLATINUMZ ATUA DAR APATA MAPOKEZI YA NGUVU.

Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ALIPOTAMBULISHWA KWA WAZEE WA DAR, UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE

 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati  Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati  Pongezi kwa mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuogea   Meza kuu…

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA KUKATA NA SHOKA YA MUSSA & THUWAIBA GOLDEN JUBILEE TOWER!

Nenda kajionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa siku ya harusi ya Mussa na Thuwaiba. BONYEZA …

 

11 years ago

GPL

MAONESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA UTURUKI NA TANZANIA YAFUNGULIWA DIAMOND JUBILEE DAR

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Dk. Reginald Mengi (wa tatu kulia) akikata utepe kuzinduwa maonesho ya biashara ya bidhaa kutoka nchi za Uturuki na Tanzania leo jijini Dar es Salaam yanayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia leo tarehe 15 hadi tarehe 17, 2014. Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Dk. Reginald Mengi, ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani