Bella aitikisa DARLIVE usiku wa nani kama Mama
Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.
Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).
Christian...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQnr77WlLhW64Umgn66nT6wreHsz8PvJP8Scf1*evPsDnKxVjS4JrYwwphPbm53GzI1As-587oBOjbMXz-o-RNCZ/DALLIVE15.jpg?width=650)
BELLA AITIKISA DAR LIVE USIKU WA NANI KAMA MAMA
Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MipcivmYLtGbRSzV-Y6UC87sWPCxhaUN19c-gUaEXJ115ixqF5Ljxyk1gvvgDRXp2VaSNREc1FPshMYbqQSQmjk/BELLA.jpg)
USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE... BELLA KUWEKA HISTORIA MPYA
Stori: Showbiz WAKATI siku zikizidi kukatika kuelekea Desemba 6, katika ule Usiku wa Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuweka historia mpya ndani ya ukumbi huo. Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’. Akipiga stori na Showbiz, Meneja wa Bella, Amiri Marusu aliongelea usiku huo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7oxPj1gJLky7uC2l2hzTJ2tb2KIstsOEMelOOlHRxoBqDXk-z*fkmlUduZQLlYp9*eDGlwhr-w*33*RLSZMABinyDUeqI4E/Bella.jpg?width=650)
USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE BELLA KUWEKA HISTORIA LEO
DAR ES SALAAM, Tanzania
YAMETIMIA! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa burudani, hatimaye leo, Desemba 6, mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’, anatarajiwa kuweka historia mpya katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Meneja wa Bella, Amiri Marusu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKl3U3QOe6xYYxidGODvMOfGhI7tQUUTfRAXubg-Q47vAsESa39EbyamjquifOSR2YCJpIUmOl*PFkuYd3jP5RVm/1.jpg)
UZINDUZI WA ‘NANI KAMA MAMA’ YA BELLA USIPIME
Mashabiki wakimtunza Bella baada ya kuwakuna. Bella na Banana wakikamua. Matonya akitoa sapoti kwa vibao vyake kikiwemo cha 'Vailet'.…
10 years ago
GPL08 Dec
NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE
BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ Desemba 6, 2014 iliutikisa Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar baada ya kuwapagawisha mashabiki kwa shoo ya nguvu iliyoambatana na utambulisho wa wimbo wa Bella uitwao 'Nani Kama Mama'.
11 years ago
GPL21 May
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5V71o8UxWRU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtLJH5p8ocG3KKU7gh9NtiLblbQivMD671EL6o41AS6ThwD8st-lVOd868Uba9FlSE1yrqGxIgROWbg*R*NHpWgG/IMG20141101WA0010.jpg?width=650)
11 years ago
Bongo505 Aug
Christian Bella asema aliutunga ‘Nani Kama Mama’ baada ya kumshuhudia mkewe akijifungua
Muimbaji na kiongozi wa Malaika Band, Christian Bella anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Nani Kama Mama’ amesema wimbo huo aliutunga baada ya kumshuhudia live mke wake akijifungua. “Mwaka 2012 nilienda Sweden kwa mke wangu ambaye alikuwa anajifungua hivyo nililazimika kuwepo ili kushuhudia mtoto wangu akizaliwa,” ameliambia gazeti la Mwanaspoti.”Nilishuhudia kila kitu na sasa nina watoto […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania