Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yesu alizaliwa wakati gani?

“TAREHE mahsusi na muafaka ambayo  Yesu Kristo alizaliwa haijulikani,” kinasema kitabu cha Encyclopedia of Early Christianity. Hata hivyo, mamilioni ya watu ulimwenguni husherehekea kuzaliwa kwa Yesu  Desemba 25. Lakini tarehe hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NABII: HUYU SI YESU

Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...

 

11 years ago

GPL

YESU FEKI AITIKISA DUNIA

Stori: Jelard Lucas na Mtandao
SHETANI bado anazidi kuwasakama Wakristo duniani. Hii ni baada ya mkazi wa Kijiji cha Alvaro Thesiss, Santa Catarina nchini Brazil, Mtume Inri Cristo (66) mwanzilishi wa Kanisa la Waraka Mweusi (Suprema Ordem Universal da Santíssima Trindade ‘Soust’), miaka 35 iliyopita kujitangaza kuwa yeye ni Yesu Kristo amerudi kuja kuwaokoa wanadamu baada ya kusubiriwa kwa miaka mingi. Mtume...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiingilio ‘Kamata Pindo la Yesu’ buku 5

WADHAMINI wa uzinduzi wa video ya albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’,  Kampuni ya Msama Promotions, wametangaza kiingilio cha kushuhudia uzinduzi huo utakaofanyika Agosti 3, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa?

Baada ya tafakuri ya Pasaka, watu wengi wameniandikia maoni na kutaka niendeleze makala ile. Nimeamua kuindeleza kwa namna nyingine kwa tafakuri zaidi. Juu ya mada hii: Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa.

 

9 years ago

Vijimambo

Zetrida Ezekiel atoka na ringa na yesu!


Zetrida Ezekiel ni mwanamuziki mahiri wa muziki wa injili aishiye mkoani Kigoma, amekuwa mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mwana kwaya wa  kikundi maarufu na kikongwe cha nyimbo za injili cha MKE MWEMA cha mjni Kigoma. Zetrida ameolewa na ni mama wa watoto wanne, wa kike wawili na wa kiume wawili.


Lakini baada ya kupata rai nyingi na kwa muda mrefu toka kwa wachungaji wake na watu mbali mbali kuwa atengeneze albamu yake kama mwanamuziki wa kujitegemea,hatimae mwezi wa August mwaka huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhando kuachia ‘Kung’uta Yesu’

MALKIA wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kuachia albamu mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Kung’uta Yesu’. Nyimbo tano katika albamu hiyo amezirekodi nchini Afrika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je sura halisi ya Yesu ilikuwa ipi ?

Uso wa Yesu umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani