Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rungu la Yesu ft. Bishop Nickodemus Shaboka Jr - ILIKUWA ZAMANI (officia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je sura halisi ya Yesu ilikuwa ipi ?

Uso wa Yesu umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele.

 

5 years ago

BBCSwahili

'Bangi ilikuwa ikichomwa wakati wa ibada' na Waisraeli wa zamani - utafiti unasema

Mabaki ya bangi yamepatikana katika madhabahu yaliopo katika hekalu lililopo jangwani nchini Israel.

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

11 years ago

GPL

NABII: HUYU SI YESU

Stori: MAKONGORO OGING’
Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo amesema picha ya Yesu Kristo inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya Kikrito duniani siyo ya mwokozi huyo wa roho za watu. Mtume na Nabii Hebron Wilson Kisamo mwenye kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha. Nabii huyo ambaye ana kanisa lake maeneo ya Moshono, Arusha aliyasema hayo hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha runinga nchini. Alisema watu wengi katika...

 

11 years ago

GPL

YESU FEKI AITIKISA DUNIA

Stori: Jelard Lucas na Mtandao
SHETANI bado anazidi kuwasakama Wakristo duniani. Hii ni baada ya mkazi wa Kijiji cha Alvaro Thesiss, Santa Catarina nchini Brazil, Mtume Inri Cristo (66) mwanzilishi wa Kanisa la Waraka Mweusi (Suprema Ordem Universal da Santíssima Trindade ‘Soust’), miaka 35 iliyopita kujitangaza kuwa yeye ni Yesu Kristo amerudi kuja kuwaokoa wanadamu baada ya kusubiriwa kwa miaka mingi. Mtume...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yesu alizaliwa wakati gani?

“TAREHE mahsusi na muafaka ambayo  Yesu Kristo alizaliwa haijulikani,” kinasema kitabu cha Encyclopedia of Early Christianity. Hata hivyo, mamilioni ya watu ulimwenguni husherehekea kuzaliwa kwa Yesu  Desemba 25. Lakini tarehe hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa?

Baada ya tafakuri ya Pasaka, watu wengi wameniandikia maoni na kutaka niendeleze makala ile. Nimeamua kuindeleza kwa namna nyingine kwa tafakuri zaidi. Juu ya mada hii: Je, Yesu Kristo wa Nazareti alikuwa mwanasiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhando kuachia ‘Kung’uta Yesu’

MALKIA wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kuachia albamu mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Kung’uta Yesu’. Nyimbo tano katika albamu hiyo amezirekodi nchini Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani