KUAMBIANA; STAA ALIYEISHI MAISHA YAKE HALISI!
![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBCArbqHCf46Ydr5p-f4wH0-76HiIpdtGAs1GdzKxraZA8*Y0ZUTTV7*RDAceVvWFXdVDJNQTKYfxMJU1iqS3gPC/kuambiana.jpg)
JEMBE limeondoka! Ndiyo... ilikuwa unaweza kumfananisha Adamu Kuambiana na jembe kwenye kilimo! Jembe likikosekana, maana yake mkulima hawezi kuendelea kulima na mwisho wake ni kukosa mazao.Ni siku ya tano sasa tangu Adam atutoke. Kwenye tasnia ya sinema ni pigo kubwa. Marehemu Kuambiana alifariki ghalfa, Jumamosi ya Mei 17, mwaka huu akiwa njiani akipelekwa hospitalini. Msanii huyo alikutwa ameanguka chooni asubuhi hiyo, muda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Maisha halisi ya Jaydee - 4
10 years ago
GPLJOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!
11 years ago
GPL16 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s72-c/rose-muhando-post.jpg)
ROSE MUHANDO ALALAMIKIA WEZI WA KAZI ZA WASANII,KUACHIA ALBAMU YAKE HALISI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s1600/rose-muhando-post.jpg)
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake
10 years ago
Bongo Movies05 May
Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...
Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"
''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?
Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]
The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi
Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]
The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...