Vijana nchini watakiwa kubuni miradi endelevu
Vijana wametakiwa kuwa wabunifu na kuanzisha miradi endelevu ambayo itakuwa na manufaa kwao binafsi na jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Vijana watakiwa kuanzisha miradi
Vijana wilayani Muleba, mkoani Kagera wametakiwa kujenga tabia ya kuthubutu katika uwekezaji kwa kuanza na mitaji midogo wakitumia nguvu zao ili kuharakisha maendeleo na kujikwamua na umaskini.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Na Frank Shija, WHVUM
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
10 years ago
Habarileo10 Apr
Serikali za mitaa watakiwa kubuni vyanzo vya mapato
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia amezitaka serikali za mitaa kuongeza mapato katika halmashauri zake ili zikue kiuchumi na kimaendeleo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s72-c/images.jpg)
WATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s1600/images.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GHupgixgvEc/Xmh2vCCAt4I/AAAAAAALiic/XF1JrgMT6dwAh13Z1QSAdLCPL48Yp0-wgCLcBGAsYHQ/s72-c/9e626390-7d6f-4248-ace8-a4f4ef680bd0.jpg)
VIJANA 20,000 NCHINI KUNUFAIKA NA SOKO LA MATUNDA, WATAKIWA KUTOKATA TAMAA
VIJANA nchini wametakiwa kutokata tamaa ya maisha badala yake wawe wepesi wa kuchangamkia fursa pindi zinapojitokeza na siyo kukaa mitaani na kulalamikia ugumu wa maisha.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira, Mhe Anthony Mavunde wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima wilayani Butiama, Mara.
Mhe Mavunde amesema zaidi ya vijana 20,000 watanufaika na soko la mazao ya matunda nchini kote katika viwanda vilivyopo hapa nchini ikiwemo cha ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s72-c/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
VIJANA NCHINI WATAKIWA KUWA WAZALENDO, KUHAMASISHA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s640/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu (Tahliso) katika mkutano wa pamoja jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SUXCsj5qhmc/XoMMxoLE7WI/AAAAAAALlqE/iG23k_Ig_FcxsiQhARsdIk6e9ix1gyAggCLcBGAsYHQ/s640/6945cc39-e4db-4b76-a28f-24c94f181f48.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akiwa katika picha ya pamoja na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (Tahliso).
Charles James, Globu ya Jamii
VIJANA nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufikia ndoto zao na siyo kukaa vijiweni wakilalamikia ugumu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s72-c/Pix%2Bb.jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia upatikanaji wa taarifa sahihi kuelekea uchaguzi mkuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s640/Pix%2Bb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uwUbPayAoR0/VcxfBAQ6B5I/AAAAAAAHwWc/2ATtTwvjiB8/s640/Pix%2Bc.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10