Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana watakiwa kuanzisha miradi

Vijana wilayani Muleba, mkoani Kagera wametakiwa kujenga tabia ya kuthubutu katika uwekezaji kwa kuanza na mitaji midogo wakitumia nguvu zao ili kuharakisha maendeleo na kujikwamua na umaskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Edmond Mndolwa akikata utepe wakati wa kukabidhi mashine ya kufyatua matofali wakati alipotembelea halmashauri ya wilaya ya Longido.  Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dkt. Edmond Mndolwa akikabidhi viti wakati alipotembelea halmashauri ya wilaya ya Longido.Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa ambaye pia ni mjumbe wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana nchini watakiwa kubuni miradi endelevu

Vijana wametakiwa kuwa wabunifu na kuanzisha miradi endelevu ambayo itakuwa na manufaa kwao binafsi na jamii.

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

10 years ago

Habarileo

Wawekezaji kuanzisha miradi ya uchumi

KUFUATA kuwapo kwa huduma mbalimbali muhimu katika kisiwa cha Pemba ikiwamo nishati ya umeme ya uhakika, baadhi ya wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza katika eneo huru la uchumi liliopo Micheweni Pemba.

 

10 years ago

Habarileo

Wahimizwa kuanzisha miradi ya kiuchumi

WATUMISHI wa umma katika halmashauri ya wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro wametakiwa kutumia fursa nyingine zilizopo ili kujiinua kimaisha badala ya kutegemea ajira serikalini pekee.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia

Na Frank Shija, WHVUM
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Concilia Niyibitanga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo jijini Dar es Salaam.Kuliani Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Frank Mvungi. Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana Dkt. Steven Kissui akionyesha Kitabu cha Sera ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kuanzisha kamati za amani

VIONGOZI wa dini zote nchini, wameshauriwa kuanzisha Kamati za Pamoja za Amani katika mikoa waliyomo, kujadili changamoto zinazojitokeza Tanzania, zikihusisha imani.

 

9 years ago

StarTV

Wafanya biashara watakiwa kuanzisha Viwanda endelevu.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja amesema nchi itakuwa na viwanda endelevu iwapo vitaanzishwa na wafanyabiashara wenyewe kwa kuwa viwanda vingi vilivyojengwa na Serikali vimekufa.

Amesema ni rahisi kwa wafanyabiashara kuendesha viwanda na kuhakikisha vinazalisha faida kwa kuwa watakuwa na uchungu navyo vitakapopata hasara.

Akizungumza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Johnson Minja amesema kwa kuliona hilo na fursa za kibiashara zilizopo kutokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani