Wahimizwa kuanzisha miradi ya kiuchumi
WATUMISHI wa umma katika halmashauri ya wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro wametakiwa kutumia fursa nyingine zilizopo ili kujiinua kimaisha badala ya kutegemea ajira serikalini pekee.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Feb
Wawekezaji kuanzisha miradi ya uchumi
KUFUATA kuwapo kwa huduma mbalimbali muhimu katika kisiwa cha Pemba ikiwamo nishati ya umeme ya uhakika, baadhi ya wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza katika eneo huru la uchumi liliopo Micheweni Pemba.
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Vijana watakiwa kuanzisha miradi
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Wazee Magu wabuni miradi ya kiuchumi
“HIVI karibuni tunategemea kuanza kutengeneza matenki ya kuwekea maji yenye lita za ujazo 2,000. Tutaiomba Ofisi ya Mkurugenzi itupe tenda ya kusambaza kwenye shule zote hapa Magu. “Pia tunao mradi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_100245.jpg)
Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100245.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u4XDO9bRSp4/Xk_Z-NBTjcI/AAAAAAALerY/nGGZlJYuVFo3l194zQBDsI-jtiTzQ8MNACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100808.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tGekAAhW6kM/Xk_Z-d3avfI/AAAAAAALerg/MD48jm58cEQW0oC1QxrjbTGNq5Qmcz-QQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_101209.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aKFhMgYz5D0/UyvlRXtAbjI/AAAAAAACdII/Lzf70dWOkI4/s72-c/IPTL+1.jpg)
IPTL kusaidia miradi ya kuwawezesha vijana kiuchumi
![](http://3.bp.blogspot.com/-aKFhMgYz5D0/UyvlRXtAbjI/AAAAAAACdII/Lzf70dWOkI4/s1600/IPTL+1.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KTbY2fXtq_Y/VecCu22-Q4I/AAAAAAAC-R4/FiXxmJNc3yw/s72-c/index.jpg)
SUCCOS KUANZISHA MIRADI YENYE LENGO LA KULETA AMANI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-KTbY2fXtq_Y/VecCu22-Q4I/AAAAAAAC-R4/FiXxmJNc3yw/s320/index.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mradi Deogratius Paso amesema kuwa kupitia miradi hiyo itaendesha semina mbalimbali ambazo zitasaidia kudumisha amani na kupunguza umasikini nchini hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
“Tumelenga mambo mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
UDA kuendelea kupiga jeki miradi yakijamii na kiuchumi nchini
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi Saccos ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu,
Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kupiga jeki zaidi miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini Tanzania katika hatua ya kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini.
Akizungumza...
10 years ago
Michuzi08 Aug
SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/157.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/234.jpg)