Serikali za mitaa watakiwa kubuni vyanzo vya mapato
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia amezitaka serikali za mitaa kuongeza mapato katika halmashauri zake ili zikue kiuchumi na kimaendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s72-c/images.jpg)
WATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_fiha0Wdog/VfVGHRuodBI/AAAAAAAH4Tw/_nOcVIYFee8/s1600/images.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6BcQHvY7ck4/XlajVE1bj8I/AAAAAAALfn4/6aisXvFaznE9PmDP_a8vuYxl6JqAoV8PACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YASHAURIWA KUBUNI VYANZO VYA MAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6BcQHvY7ck4/XlajVE1bj8I/AAAAAAALfn4/6aisXvFaznE9PmDP_a8vuYxl6JqAoV8PACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Jumuiya ya Afrika mashariki imeshauriwa kubuni vyanzo vya mapato vitakavyoiwezesha kujiendesha bila kutegemea Michango inayotolewa na nchi wanachama na pia wafadhiliMjadala huo uliibuka wakati wabunge wakichanganua ripoti ya ukaguzi wa mahesabu za jumuiya a hiyo baada ya mbunge kutoka Uganda suzan Nakawuki kulieleza Bunge kuwa kuna haja ya hatua za kisheria kuanza kuchukuliwa kwa idara ama watendaji wasiotimiza wajibu wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s72-c/CDF%2B1.jpeg)
HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUBUNI VYANZO ZAIDI VYA MAPATO YA NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ct1TgjtkAmE/VYEjFXsJ_gI/AAAAAAAHgUQ/p5rdz54UzXI/s640/CDF%2B1.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXJ3-lp5wWI/VYEjFka7mYI/AAAAAAAHgUU/yxT9tPoaBQA/s640/CDF%2B2.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jg7b2JBbCCM/U2oS_CUcrlI/AAAAAAAFgG0/TayaHO4D1zs/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Dk. Kigwangala aitaka TAMISEMI kuwashirikisha Wananchi kubuni Vyanzo vya Mapato
![](http://2.bp.blogspot.com/-jg7b2JBbCCM/U2oS_CUcrlI/AAAAAAAFgG0/TayaHO4D1zs/s1600/unnamed+(3).jpg)
Akiwasilisha maoni ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa bungeni leo kuhusu Utekelezaji wa Majukumu ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha 2013, mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wagombea urais waweke wazi vyanzo vya mapato yao
WANASIASA wanaogombea nafasi za juu za uongozi katika nchi zao, ukiwamo urais, kote duniani hupaswa kufanya maandalizi mengi kabla ya kufikia uamuzi huo. Miongoni mwa maandalizi hayo, kubwa zaidi ni...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Nagu aagiza TIC kuanzisha vyanzo vingine vya mapato
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amekitaka Kituo cha Uwekezaji (TIC) kuanzisha vyanzo vingine vya mapato ili kiweze kutekeleza miradi yake kwa wakati bila kutegemea bajeti ya serikali.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Watendaji watakiwa kutunza vyanzo vya maji
MKUU wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego, amewaagiza watendaji wa vijiji, mitaa na kata kuhakikisha wanatunza na kulinda vyanzo vya maji ikiwemo miundombinu yake ili kuwepo na uhakika wa maji....