MKUMBO UTAKAVYOWAGHARIMU VIJANA MIAKA 5 IJAYO

Katika michakato yote ya chaguzi zilizopita, mchakato wa uchaguzi wa mwaka huu, unatajwa kuwa wa kipekee zaidi kutokana na kuwepo kwa mwamko mkubwa wa watu wengi wa kada mbalimbali huku vijana wakiwa kundi kubwa la watu waliojitokeza kuliko makundi yote. Ndani ya kundi hilo la vijana wapo wafanyakazi wa serikali na wenye ajira binafsi kama vile waendesha bodaboda, wafanyakazi wa viwandani, wafanyabiashara, wakulima na wachimba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 May
Buzwagi kufungwa miaka 2 ijayo?
MGODI wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.
11 years ago
Mwananchi16 Oct
Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo
10 years ago
Michuzi25 Apr
TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO - NYALANDU


10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Tembo kutoweka Tanzania miaka 10 ijayo — Nyalandu
Pichani juu na chini ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na katika mkutano uliohusisha wadau wa mashirika ya Kimataifa na asasi za kijamii ukiwa na lengo la ushirikishaji wa jamii katika masuala ya uhifadhi wa wanyamapori uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Mpingo House uliopo Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewji blog).
Na Modewji blog team
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema...
10 years ago
Vijimambo25 Apr
NYALANDU- TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO



10 years ago
Bongo505 Jun
Kala Jeremiah: Nitagombea ubunge au urais miaka 10 ijayo
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Viongozi wa dunia walivyokusudia kuondoa umasikini miaka 15 ijayo