Viongozi wa dunia walivyokusudia kuondoa umasikini miaka 15 ijayo
Jamii ulimwenguni zimegawanyika katika makundi matatu; za mataifa tajiri yenye uchumi wa juu, mataifa ya uchumi wa kati na kundi la tatu ni la mataifa maskini. Jamii maskini ni ile ambayo wananchi wake wengi wanaishi kwa wastani wa pato la Dola moja ya Marekani, kwa siku, sawa na Sh2,100.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jun
‘Tumieni mifugo kuondoa umasikini’
WAJASIRIAMALI Kanda ya Ziwa wametakiwa kutumia wataalamu wa halmashauri na fursa ya kuwepo mifugo na mazao ya kilimo kwa wingi katika mikoa yao kusindika, kuuza na kuondokana na tatizo la umasikini.
10 years ago
Habarileo25 Jan
Nimeiachia Tanesco miradi ya kuondoa umasikini-Muhongo
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema pamoja na kujiuzulu, ameiachia Shirika la Umeme (Tanesco), miradi ya kuongeza uzalishaji umeme, ambao ni muhimu katika kuifanya nchi kuwa ya kipato cha kati miaka kumi ijayo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Miaka 52 ya uhuru, tunaimba umasikini
11 years ago
MichuziViongozi acheni kuuza utajiri na kununua umasikini - Mh. Lowassa
Akifungua semina ya siku mbili ya juu ya maswala ya ardhi kwenye ukumbi wa hoteli ya Emanyata mjini Monduli,Mh. Lowassa amesema shutuma hizo zimekuwa nyingi kwa viongozi hao kwa kuuza utajiri (ardhi) na kununua umasikini.
"Walikuja pale...
11 years ago
Habarileo11 May
Buzwagi kufungwa miaka 2 ijayo?
MGODI wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.
11 years ago
Mwananchi16 Oct
Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo
10 years ago
GPL
MKUMBO UTAKAVYOWAGHARIMU VIJANA MIAKA 5 IJAYO