Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimeiachia Tanesco miradi ya kuondoa umasikini-Muhongo

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema pamoja na kujiuzulu, ameiachia Shirika la Umeme (Tanesco), miradi ya kuongeza uzalishaji umeme, ambao ni muhimu katika kuifanya nchi kuwa ya kipato cha kati miaka kumi ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Tumieni mifugo kuondoa umasikini’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.WAJASIRIAMALI Kanda ya Ziwa wametakiwa kutumia wataalamu wa halmashauri na fursa ya kuwepo mifugo na mazao ya kilimo kwa wingi katika mikoa yao kusindika, kuuza na kuondokana na tatizo la umasikini.

 

9 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dunia walivyokusudia kuondoa umasikini miaka 15 ijayo

Jamii ulimwenguni zimegawanyika katika makundi matatu; za mataifa tajiri yenye uchumi wa juu, mataifa ya uchumi wa kati na kundi la tatu ni la mataifa maskini. Jamii maskini ni ile ambayo wananchi wake wengi wanaishi kwa wastani wa pato la Dola moja ya Marekani, kwa siku, sawa na Sh2,100.

 

9 years ago

Habarileo

Wapongeza Muhongo kuibana Tanesco

WANANCHI wa kijiji cha Nyarukongora, kata ya Biharamulo Mjini, wamempongeza Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwa namna anavyoshughulikia matatizo ya umeme nchini na kusema ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine.

 

9 years ago

Michuzi

Profesa Muhongo aibana TANESCO

Na Mohamed Saif
Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeagizwa kuhakikisha hadi kufikia tarehe 3 Januari 2016 liwe limekamilisha kufunga umeme kwenye Jengo la Ofisi za Serikali la Mpakani  mwa Tanzania na Rwanda (One Stop Border post) lililopo eneo la Rusumo wilayani Ngara.
Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipofanya ziara kwenye Mpaka wa Tanzania na Rwanda kwa ajili ya kukagua maendeleo ya mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Muhongo kutimua wazembe Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ataanza kuwatimua wafanyakazi wazembe, wavivu na wasiokuwa na tija kwenye Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika muda wa siku 90 zijazo.

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo akemea rushwa Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wananchi wa vijiji vya wilayani hapa kutoa taarifa za mianya ya rushwa wakati wanapoomba kuunganishiwa umeme majumbani.

 

10 years ago

Mtanzania

Muhongo aitwisha mzigo Bodi ya Tanesco

Pg 3 jan.19Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kuipa vipaumbele vitano vya utekelezaji wa majukumu yake.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana, ilisema uzinduzi wa bodi hiyo ulifanyika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa wizara hiyo.
Alisema bodi hiyo ina jukumu kubwa la kuliongoza shirika hilo kwa ufanisi na...

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

9 years ago

TheCitizen

Muhongo tells Tanesco to sort out contracts

Shocked by frequent breakdown of power generators in Mwanza, minister for Energy and Minerals Prof Sospeter Muhongo yesterday summoned Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) officials who were involved in the purchase and installation of the machines for questioning.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani