Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amesema waumini wa kanisa hilo hawana sababu ya kuingiwa wasiwasi kuhusu hali yake kiafya kwa kuwa anastaafu miaka mitano ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
10 years ago
VijimamboMIAKA MITANO YA MAX MALIPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yf2fRcxffOA/VHhr01G_fYI/AAAAAAAAryo/if-wV2bHBWA/s1600/1.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2B%2Bna%2BRichard%2BChagula%2Bwa%2BManispaa%2Bya%2BKinondoni%2Bwakikata%2Butepe%2Bkuzindua%2Bmuonekano%2Bmpoya%2Bwa%2BMax%2BMalipo.jpg)
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWFKiLGb0X0/VHhr4AuDCSI/AAAAAAAArzQ/ZlYmNMVgVQ0/s1600/2.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2Bakizindua%2Bmuonekano%2Bmpya%2Bwa%2Bhuduma%2Bya%2BMax%2BMalipo.jpg)
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sitta: Nipeni miaka mitano
NA WAANDISHI WETU, TABORA
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, imeendelea kuongezeka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta naye kutangaza jana.
Waziri Sitta, alitangaza nia yake katika Ikulu ndogo ya Itetemea mkoani Tabora, huku akiomba chama chake kimpitishe na Watanzania kumpa miaka mitano tu ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutawala.
“Tofauti na wenzangu wanaotaka urais kwa miaka 10, mimi nataka kutumikia nafasi...
10 years ago
GPLKONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Sugu ataka miaka mingine mitano
10 years ago
MichuziNINATAKA URAIS WA MIAKA MITANO-SITTA
Waziri wa Uchukuzi,Samwel Sitta amesema kuwa anataka Urais wa miaka mitano kuweza kuivusha nchi katika kutokana na mambo yanayoonekana ikiwamo muungano,udini ,ungezeko la vijana.
Sitta ameyasema hayo leo wakati akitangaza nia ya kugombea urais katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chifu Fundikira Kata ya Itetemia mkoani Tabora.
Amesema mtu yeyote makini ana nafasi ya Urais, hana budi kuyapima mazingira ya taifa katika miaka mitano...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano
10 years ago
Vijimambo09 Feb
Polisi 'feki' wawili wafungwa miaka mitano
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/polisi-09Feb2015.jpg)
Katika kesi hiyo, washitakiwa hao walidaiwa kufanya utapeli katika kijiji cha Buseresere, Septemba 4, mwaka jana na kujipatia simu mbili za mkononi pamoja na Sh. 11,000 taslimu kinyume cha...