Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NINATAKA URAIS WA MIAKA MITANO-SITTA

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii, Tabora.
Waziri wa Uchukuzi,Samwel Sitta amesema kuwa anataka Urais wa miaka mitano kuweza kuivusha nchi katika kutokana na mambo yanayoonekana ikiwamo muungano,udini ,ungezeko la vijana.
Sitta ameyasema hayo leo wakati akitangaza nia ya kugombea urais katika mkutano uliofanyika katika viwanja  vya Ikulu ya Chifu Fundikira Kata ya Itetemia  mkoani Tabora.
Amesema mtu  yeyote makini ana nafasi ya Urais, hana budi   kuyapima mazingira ya taifa katika miaka mitano...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sitta: Nipeni miaka mitano

Mheshimiwa Samweli Sitta akiwa na viongozi wenzake wa CCM alipokuwa akitangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.NA WAANDISHI WETU, TABORA
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, imeendelea kuongezeka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta naye kutangaza jana.
Waziri Sitta, alitangaza nia yake katika Ikulu ndogo ya Itetemea mkoani Tabora, huku akiomba chama chake kimpitishe na Watanzania kumpa miaka mitano tu ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutawala.
“Tofauti na wenzangu wanaotaka urais kwa miaka 10, mimi nataka kutumikia nafasi...

 

10 years ago

Michuzi

Chikawe: Niliamua kugombea urais miaka mitano iliyopita

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe (pichani), ambaye ni mmoja wa wanachama wa CCM waliochukua fomu za kugombea kiti cha urais, amesisitiza kuwa uamuzi wa kugombea nafasi hiyo aliufikia miaka mitano iliyopita na kuwaomba wana-CCM kuwapuuza wale wanaosema hakupanga kuomba nafasi hiyo.
Waziri Chikawe, ambaye amekamilisha kazi ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania Bara na Zanzibar kama taratibu zinavyoelekeza, amesema uamuzi wake wa kugombea nafasi hiyo aliufanya baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?

Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu  hii ya   ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa  mada zangu kwa takriban  mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA MITANO YA MAX MALIPO



Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu ataka miaka mingine mitano

>Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amesema baadhi ya majukumu aliyopewa na wananchi hajayakamilisha, hivyo anasubiri uamuzi wa chama kuhusu hatima yake ya kuteuliwa tena kuwania ubunge.

 

10 years ago

GPL

KONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO

Mmoja wa washiriki wa Kongowe jogging akiwa kashika bendera ya taifa kama ishara ya uzalendo. Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Faustine Ndugulile (mwenye jezi ya bluu) pamoja na viongozi wengine wa serikali kutoka Jimbo la Kigamboni wakiongoza…

 

10 years ago

Mwananchi

Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amesema waumini wa kanisa hilo hawana sababu ya kuingiwa wasiwasi kuhusu hali yake kiafya kwa kuwa anastaafu miaka mitano ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha kwenda jela miaka 5 baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani