NINATAKA URAIS WA MIAKA MITANO-SITTA
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii, Tabora.
Waziri wa Uchukuzi,Samwel Sitta amesema kuwa anataka Urais wa miaka mitano kuweza kuivusha nchi katika kutokana na mambo yanayoonekana ikiwamo muungano,udini ,ungezeko la vijana.
Sitta ameyasema hayo leo wakati akitangaza nia ya kugombea urais katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chifu Fundikira Kata ya Itetemia mkoani Tabora.
Amesema mtu yeyote makini ana nafasi ya Urais, hana budi kuyapima mazingira ya taifa katika miaka mitano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sitta: Nipeni miaka mitano
NA WAANDISHI WETU, TABORA
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, imeendelea kuongezeka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta naye kutangaza jana.
Waziri Sitta, alitangaza nia yake katika Ikulu ndogo ya Itetemea mkoani Tabora, huku akiomba chama chake kimpitishe na Watanzania kumpa miaka mitano tu ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutawala.
“Tofauti na wenzangu wanaotaka urais kwa miaka 10, mimi nataka kutumikia nafasi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HFAEOS6J_bg/VYlvmdv0FYI/AAAAAAAHi5U/zZ6WdfnCMu8/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Chikawe: Niliamua kugombea urais miaka mitano iliyopita
![](http://1.bp.blogspot.com/-HFAEOS6J_bg/VYlvmdv0FYI/AAAAAAAHi5U/zZ6WdfnCMu8/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Waziri Chikawe, ambaye amekamilisha kazi ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania Bara na Zanzibar kama taratibu zinavyoelekeza, amesema uamuzi wake wa kugombea nafasi hiyo aliufanya baada ya...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
10 years ago
VijimamboMIAKA MITANO YA MAX MALIPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yf2fRcxffOA/VHhr01G_fYI/AAAAAAAAryo/if-wV2bHBWA/s1600/1.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2B%2Bna%2BRichard%2BChagula%2Bwa%2BManispaa%2Bya%2BKinondoni%2Bwakikata%2Butepe%2Bkuzindua%2Bmuonekano%2Bmpoya%2Bwa%2BMax%2BMalipo.jpg)
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWFKiLGb0X0/VHhr4AuDCSI/AAAAAAAArzQ/ZlYmNMVgVQ0/s1600/2.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2Bakizindua%2Bmuonekano%2Bmpya%2Bwa%2Bhuduma%2Bya%2BMax%2BMalipo.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Sugu ataka miaka mingine mitano
10 years ago
GPLKONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano