Miaka 52 ya uhuru, tunaimba umasikini
p>KESHO, Desemba 9, ni maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Wakati tunatimiza miaka hiyo ya uhuru, zimekuwepo tafsiri tofauti kwa baadhi ya Watanzania, na hata mimi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Familia ya mpigania uhuru kwenye lindi la umasikini
Mkoa wa Kagera, zamani ulijulikana Mkoa wa Ziwa Magharibi, jina la Alli Matata ni maarufu sana. Ni jina lililotokana na uzalendo wake wa kupinga sheria kandamizi za kikoloni na hata kumng’ata kidole mzungu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Viongozi wa dunia walivyokusudia kuondoa umasikini miaka 15 ijayo
Jamii ulimwenguni zimegawanyika katika makundi matatu; za mataifa tajiri yenye uchumi wa juu, mataifa ya uchumi wa kati na kundi la tatu ni la mataifa maskini. Jamii maskini ni ile ambayo wananchi wake wengi wanaishi kwa wastani wa pato la Dola moja ya Marekani, kwa siku, sawa na Sh2,100.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s72-c/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-om561hzSRNY/Vmpl9tFQjXI/AAAAAAAILk8/wpaANuZO4M0/s640/AgG3Ui2mwJMoHx2WJlSJJgjIF0KeuZ6_kgEXoCXOc0DP.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_UfMJOEQiIc/Vmpl_lWbDXI/AAAAAAAILlU/__MwgOyGPPQ/s640/AqveZdopwZHFBpiPoepzMj4VLm0Lma6XEp9hMFXY6CdU.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T6qK-ie3y0U/Vmpl9qcON0I/AAAAAAAILlE/tuC2elMDZk4/s640/AofBcxIlfHHONd4L3WBx3D_DBxJ0YFsX4NHd4jQysETK.jpg)
10 years ago
VijimamboMIAKA 66 YA UHURU WA INDIA
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru
Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Miaka 20 ya uhuru Afrika Kusini
Utawala wa wa ubaguzi wa rangi uliwafanya watu wengi weusi kuwa maskini, ikilinganishwa na wenzao weupe. Sasa maisha yamebadilika kwa raia wengi weusi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s72-c/53152745_303.jpg)
ZIMBABWE YAADHIMISHA MIAKA 40 YA UHURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CGzn8jfDMVI/Xprzh_BtzPI/AAAAAAAAyOM/uyPFFeEBPGYwk3JzbQ-FokLzzNdQ9Ru1gCLcBGAsYHQ/s400/53152745_303.jpg)
Kawaida maelfu ya raia wa Zimbabwe hushiriki katika hafla za kuadhimisha sikukuu ya uhuru kila tarehe 18...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Miaka 52 ya uhuru, malaria imetushinda
Hivi karibuni, Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu amesema asilimia 97 ya Watanzania wako hatarini kuambukizwa ugonjwa wa malaria huku ugonjwa huo ukibeba asilimia 30 ya mzigo wa magonjwa kwa Taifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania