Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 52 ya uhuru, tunaimba umasikini

p>KESHO, Desemba 9, ni maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Wakati tunatimiza miaka hiyo ya uhuru, zimekuwepo tafsiri tofauti kwa baadhi ya Watanzania, na hata mimi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Familia ya mpigania uhuru kwenye lindi la umasikini

Mkoa wa Kagera, zamani ulijulikana Mkoa wa Ziwa Magharibi, jina la Alli Matata ni maarufu sana. Ni jina lililotokana na uzalendo wake wa kupinga sheria kandamizi za kikoloni na hata kumng’ata kidole mzungu.

 

11 years ago

GPL

RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA

Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

 

9 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dunia walivyokusudia kuondoa umasikini miaka 15 ijayo

Jamii ulimwenguni zimegawanyika katika makundi matatu; za mataifa tajiri yenye uchumi wa juu, mataifa ya uchumi wa kati na kundi la tatu ni la mataifa maskini. Jamii maskini ni ile ambayo wananchi wake wengi wanaishi kwa wastani wa pato la Dola moja ya Marekani, kwa siku, sawa na Sh2,100.

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA

Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akiongoza timu ya wafanyakazi wa Mfuko pamoja na wafanyakazi wa Dangote kufanya usafi katika maeneo ya soko la Mbae na Ufukoni mkoni Mtwara katika kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania na kutekeleza agizo la Mh Rais John Pombe Magufuli la kuhakikisha watanzania wanafanya usafi katika maeneo yao.Zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya soko la Mbae na Ufukoni mkoni Mtwara likiendelea ikiwa ni katika kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru...

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 66 YA UHURU WA INDIA

Balozi Mdogo wa India Zanzibar,Balozi Satendar Kumar, akipandisha Bendera ya India kuadhimisha Siku ya Uhuru wa India kutimia miaka 66 ya Uhuru wa Nchi hiyo, maadhimisho hayo yamefanyika katika Ofisi za Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. Balozi Mdogo wa India Zanzibar,Balozi Satendar Kumar, akitowa heshima wakati upandishaji wa Bendera ya India kuadhimisha Siku ya Uhuru wa India kutimia miaka 66 ya Uhuru wa Nchi hiyo kwa Zanzibar yameadhimishwa katika viwanja vya Obalozi Mdogo wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru

Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 20 ya uhuru Afrika Kusini

Utawala wa wa ubaguzi wa rangi uliwafanya watu wengi weusi kuwa maskini, ikilinganishwa na wenzao weupe. Sasa maisha yamebadilika kwa raia wengi weusi.

 

5 years ago

CCM Blog

ZIMBABWE YAADHIMISHA MIAKA 40 YA UHURU

           Imetimia miaka 40 leo (18.04.2020) tangu bendera ya Uingereza iliposhushwa nchini Zimbabwe, na ya taifa jipya huru ikapandishwa kuashiria uhuru wa nchi hiyo, miongoni mwa chache zilizokuwa zikibakia chini ya ukoloni.Miongo minne tangu siku hiyo ya uhuru, Wazimbabwe wengi wanasema hakuna cha kusherehekea, kufuatia miaka mingi ya utawala wa kikandamizaji wa Rais Robert Mugabe.

Kawaida maelfu ya raia wa Zimbabwe hushiriki katika hafla za kuadhimisha sikukuu ya uhuru kila tarehe 18...

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 52 ya uhuru, malaria imetushinda

Hivi karibuni, Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu amesema asilimia 97 ya Watanzania wako hatarini kuambukizwa ugonjwa wa malaria huku ugonjwa huo ukibeba asilimia 30 ya mzigo wa magonjwa kwa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani