Kala Jeremiah: Nitagombea ubunge au urais miaka 10 ijayo
Rapper Kala Jeremiah amesema atafikiria kugombea nafasi ya ubunge au urais baada ya miaka 10 licha ya kushauriwa na watu mbalimbali kufanya hivyo muda huu. Kala ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa bado anataka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa njia ya muziki. “Mimi nimekuwa kati ya wasanii ambao nimekuwa nikishauriwa kuingia kwenye siasa na kugombea,” amesema rapper […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Dec
Video: Kala Jeremiah – Malkia
![KALA-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/KALA-NEW-300x194.jpg)
Rapper Kala Jeremiah baada ya kimya kidogo amerudi tena na hii video mpya wimbo unaitwa “Malkia”, Video imeongozwa na Pablo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo530 Sep
Kala Jeremiah aitupia lawama BASATA
11 years ago
GPLKALA JEREMIAH NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6TIZBqLM_JM/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM19 Nov
KALA JEREMIAH: NIMEOTESHWA KUANDIKA “USIKATE TAMAA”
Staa wa Hip Hop,Kala Jeremiah ambaye hivi karibuni alilamba mkataba wa kuwa balozi wa kampuni moja ya vinywaji kwa mwaka wa pili mfululizo.
Kala Jeremiah ana mipango ya kuachia ngoma mpya inaitwa ‘’Usikate Tamaa’’, ina aminika kuwa itashika kushika katika level za Dear god, Kala anasema idea ya ngoma hiyo imeanzia ndotoni.
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Kala Jeremiah: Tukumbuke maisha baada ya uchaguzi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa rap nchini, Kala Jeremiah, amewataka wasanii wenzake wanaoshabikia vyama mbalimbali kuelekea kwenye uchaguzi wa Oktoba 25, wakumbuke maisha baada ya uchaguzi huo.
Kala Jeremiah alisema anashangazwa na wanaojibweteka upande mmoja wa chama bila kujua maisha yao yatakuwa vipi baada ya uchaguzi kupita.
“Ni haki kwa kila mtu kuwa na mtu anayemkubali kama rais, lakini ninavyoona kuna baadhi ya watu wana ushabiki unaovuka mipaka, hofu yangu kubwa ni baada...
10 years ago
Bongo518 Mar
New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi
10 years ago
CloudsFM12 Dec
MALARIA,TYPHOD YAMLAZA KALA JEREMIAH HOSPITALI
Rapa wa ngoma ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.
‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/--DY2YLVzWP4/VYbcO1GHirI/AAAAAAAACKU/dBgNG6CBe6E/s72-c/leoooo.jpg)