Werema: Ni uamuzi wa mkumbo
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amelalamikia uamuzi wa Bunge unaopendekeza yeye na baadhi ya vigogo wachukuliwe hatua, akidai kuwa haukuwa wa haki kwa wote waliotuhumiwa na ulifanywa kwa hasira na kufuata mkumbo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Dec
Wasomi: Uamuzi wa Werema ni wa busara
WASOMI na wanasiasa kadhaa nchini wametoa maoni yao kuhusu uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu wadhifa wake juzi, kupitia barua yake kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naye aliiridhia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDJNYNhMDBdgGGUSbIKYpZE-cVYgcXKEeKzMXddlscN20oKHj8InVYw20-nzSbKZHL1JrReWXyuyZSzEF68mfz9Q/collegestudentsawesome.jpg?width=650)
KUFUATA MKUMBO KUNAVYOATHIRI UFAULU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D9JfhJffrTnnln2Td-4Lbj9LlkFk4*dDgMHjo3lr61rVNAz5sdObwTlETIbhAp09hq1Tfd9MdB2DT7yQNWViM3*/MMG24742.jpg?width=650)
KITILA MKUMBO ACHOMOA URAIS ACT
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7JutsuP04DPO6oD0jVcWJ0iuwQzoACxw9*eKu0q8RdvvkeSSarY6F4Mvc4qpSf30NMtdUr4kXyhH4ff*IrC-fXky/SHABIKIASIASA.jpg)
MKUMBO UTAKAVYOWAGHARIMU VIJANA MIAKA 5 IJAYO
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo
MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.
Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.
Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Profesa Mkumbo: Rais siyo ofisa miradi
MSHAURI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo amesema wananchi hawachagui rais ili awe ofisa miradi, meneja au kufanya kazi za uhandisi kwa sababu wataalamu wa fani hizo wapo isipokuwa anayechaguliwa ni kiongozi mkuu wa nchi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es Salaam jana, Profesa Kitila alisema kazi za rais ni nne ambazo ni fikra kwa kuwa ndiye anayestahili kutoa dira ya nchi hivyo anatakiwa kuwa mwenye uwezo wa kufikiri...
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlHmyIEC7JI-naZr9XxznDVt5RFZ9BsrMItQm8JgyyHFy-an7QtJYHz1tQlhEgo612WN4PoghIEa7Yhy3JzgwVM/babay.jpg)
BABY MADAHA: SIOLEWI KWA KUFUATA MKUMBO
11 years ago
IPPmedia14 May
Simiyu Regional Police Commander, Charles Mkumbo
IPPmedia
IPPmedia
A woman with albinism has been brutally killed and dismembered in Bariadi District, Simiyu Region. Simiyu Regional Police Commander Charles Mkumbo named the victim as Mughu Lugata (40), a resident of Gasuma village. “The incident occurred ...