Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Werema: Ni uamuzi wa mkumbo

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amelalamikia uamuzi wa Bunge unaopendekeza yeye na baadhi ya vigogo wachukuliwe hatua, akidai kuwa haukuwa wa haki kwa wote waliotuhumiwa na ulifanywa kwa hasira na kufuata mkumbo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasomi: Uamuzi wa Werema ni wa busara

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick WeremaWASOMI na wanasiasa kadhaa nchini wametoa maoni yao kuhusu uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu wadhifa wake juzi, kupitia barua yake kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naye aliiridhia.

 

10 years ago

GPL

KUFUATA MKUMBO KUNAVYOATHIRI UFAULU

NASHUKURU kwa mrejesho unaonesha kwamba wanafunzi wengi wananufaika na mada mbalimbali zinazotolewa katika kona hii, nawasihi tuendelee kujifunza kila siku ili kufikia malengo yetu katika masomo. Leo tunaangalia athari ambazo mwanafunzi anaweza kuzipata kwa kufuata mkumbo; bila shaka naamini kila mtu anafahamu maana ya kufuata mkumbo, kwa wasiyojua ni kufanya vitu vifanywavyo na wengi. Kuna baadhi ya wasomi ambao wameshindwa...

 

9 years ago

GPL

KITILA MKUMBO ACHOMOA URAIS ACT

Aliyeteuliwa kuwania urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Kitila Mkumbo. Ndugu Wazalendo, Naomba niwashukuru nyote kwa imani kubwa mliyo nayo juu yangu katika kukiwakilisha chama katika nafasi ya Rais. Naishukuru pia Kamati Kuu kwa imani yake kwangu hata kufikia hatua ya kupitisha azimio la kuniomba nigombee urais kwa chama chetu. Jana Kamati Kuu ilituma ujumbe maalumu nyumbani kwangu kwa ajili ya kuzungumza na familia na jamaa...

 

9 years ago

GPL

MKUMBO UTAKAVYOWAGHARIMU VIJANA MIAKA 5 IJAYO

Katika michakato yote ya chaguzi zilizopita, mchakato wa uchaguzi wa mwaka huu, unatajwa kuwa wa kipekee zaidi kutokana na kuwepo kwa mwamko mkubwa wa watu wengi wa kada mbalimbali huku vijana wakiwa kundi kubwa la watu waliojitokeza kuliko makundi yote. Ndani ya kundi hilo la vijana wapo wafanyakazi wa serikali na wenye ajira binafsi kama vile waendesha bodaboda, wafanyakazi wa viwandani, wafanyabiashara, wakulima na wachimba...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo

MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.

Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.

Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...

 

9 years ago

Mtanzania

Profesa Mkumbo: Rais siyo ofisa miradi

mkumboMSHAURI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo,  Profesa Kitila Mkumbo amesema   wananchi hawachagui rais ili awe ofisa miradi, meneja  au kufanya kazi za uhandisi kwa sababu wataalamu wa fani hizo wapo isipokuwa anayechaguliwa ni kiongozi mkuu wa nchi.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara  katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es Salaam jana, Profesa Kitila alisema kazi za rais ni nne ambazo ni fikra kwa kuwa ndiye anayestahili kutoa dira ya nchi hivyo anatakiwa kuwa mwenye uwezo wa kufikiri...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo

>Profesa Kitila Mkumbo ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mwanaharakati wa masuala ya kisiasa. Alizaliwa Juni 21, 1971 katika Kijiji cha Mgela wilayani Iramba, Singida. (Atatimiza miaka 44 Juni 2015). Profesa Mkumbo hakuwa na bahati ya kulelewa na wazazi, hivyo alisomeshwa kwa misaada ya ndugu na wasamaria wema.

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA: SIOLEWI KWA KUFUATA MKUMBO

Stori: Rhoda Josiah STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema anaishi katika staili ya kivyake hivyo kamwe hawezi kuolewa kwa kufuata mkumbo kama ilivyo kwa wasanii wengine. Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ Akipiga stori na mwandishi wetu, Baby Madaha alikiri kuwa ana mchumba ambaye ni Joh Kairuki, anampenda sana ila katika suala la kufunga...

 

11 years ago

IPPmedia

Simiyu Regional Police Commander, Charles Mkumbo


IPPmedia
Simiyu Regional Police Commander, Charles Mkumbo
IPPmedia
A woman with albinism has been brutally killed and dismembered in Bariadi District, Simiyu Region. Simiyu Regional Police Commander Charles Mkumbo named the victim as Mughu Lugata (40), a resident of Gasuma village. “The incident occurred ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani