Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tozi wa Mbagala: Msanii anayewamezea mate Chamilion, Fally Pupa

“UNAJUA wakati nilivyokuwa nachekesha jukwaani nikishuka mashabiki hunilazimisha nipande tena, sasa nikajikuta ninawakosesha raha mashabiki wangu, ndipo nilipoamua nianze kuimba, na si kama sina kipaji la hasha! Huwa naimba katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HEMED ACHUKIA KUITWA TOZI

Stori: Brighton Masalu
MSANII wa filamu na Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘PHD’ amefunguka kuwa anachukizwa na tabia ya watu kumwita tozi au mtu wa maringo. Hemed Suleiman ‘PHD’. Hapa anafafanua: “Wananihukumu kwa macho, mimi siyo tozi ila usafi wangu na kutoonekana mara kwa mara kunanifanya nionekana hivyo lakini kiuhalisia siko hivyo.”…
...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies,  Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.

Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....

Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.

Jionee picha hizo hapo juu.

 

11 years ago

Mwananchi

DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua

>Nashindwa kuelewa kwa nini wasichana ni waaathirika wa kila jambo, yaani kwenye mavazi wao, kwenye kanga moko wao, kwenye vilaza wao. Shida ni nini? Kuwa msichana ni laana au kitu gani?

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Manyara wamshauri Dk. Magufuli kutozitekeleza kwa pupa ahadi zake

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Manyara wamemshauri rais mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dokta JohnMagufuli kutofuata mashinikizo ya baadhi ya watu ya kumtaka atekeleza ahadi zake kwa pupa.

Wamesema kuwa shinikizo la kutaka atekeleze ahadi zake haraka haraka inaweza kusabisha baadhi ya ahadi hizo kutekelezwa kwa ubora usiostahili.

Wakazi hao wa mkoa wa Manyara wametoa kauli hiyo leo mara baada ya dokta John Magufuli kuapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Askofu mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

BARNABA, FALLY IPUPA ANAKUFAGILIA, SO WHAT?

MWAKA 2008, pale katika Uwanja wa World Cinema uliopo karibu na Kituo cha Daladala cha ITV, kulikuwa na bonge la shoo iliyoandaliwa na Kampuni ya TCC ambapo mwanamuziki mwalikwa alikuwa Fally Ipupa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Fally alikuwa bado bwana mdogo, kipindi hicho ndiyo kwanza ametoka katika kwapa za Koffi Olomide na kuamua kuwa mwimbaji wa kujitegemea. Tulipozungumza naye pale katika Ukumbi wa Kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond, P Square, Fally Ipupa pamoja

BAADA ya kutamba vilivyo na ngoma yake ya “My Number One Remex’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ anatarajia kupanda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ali Kiba aibuka na Fally Ipupa

NYOTA wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba, yupo mbioni kuachia wimbo aliomshirikisha msanii kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Fally Ipupa. Kwa mujibu wa mkali mwengine wa muziki...

 

5 years ago

Bongo5

Video: Fally Ipupa – Eloko Oyo

Msanii Fally Ipupa ameachia video mpya wimbo unaitwa “Eloko Oyo”, angalia hapa chini alafu toa komenti yako.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp

 

10 years ago

Bongo5

Barnaba: Fally Ipupa anakifurahia kipaji changu

Barnaba amedai kuwa msanii wa DRC, Fally Ipupa ni mtu anayefurahia kipaji chake. Kwa miaka mingi Barnaba amekuwa na mpango wa kumshirikisha msanii huyo. Hata hivyo ameiambia Bongo5 kuwa anachoshukuru ni kwamba bado wanazungumza vizuri ili kuweka mpango huo wa kufanya kazi pamoja. “Kwanza ni mtu anayenifurahia,” amesema Barnaba. “Fally anafurahia kipaji changu, anapenda talent […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani