Tozi wa Mbagala: Msanii anayewamezea mate Chamilion, Fally Pupa
“UNAJUA wakati nilivyokuwa nachekesha jukwaani nikishuka mashabiki hunilazimisha nipande tena, sasa nikajikuta ninawakosesha raha mashabiki wangu, ndipo nilipoamua nianze kuimba, na si kama sina kipaji la hasha! Huwa naimba katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeB69c1QEnjyecp-85YeiWWDf4OdreSlOlD-VarJ*i23PppSdiVqvie4jEhOTJGiwFOxA7uucelp3OvBWxUIOyAm/HEMED.jpg?width=650)
HEMED ACHUKIA KUITWA TOZI
10 years ago
Bongo Movies16 May
PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!
Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies, Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.
Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....
Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.
Jionee picha hizo hapo juu.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua
9 years ago
StarTV06 Nov
Wakazi wa Manyara wamshauri Dk. Magufuli kutozitekeleza kwa pupa ahadi zake
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Manyara wamemshauri rais mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dokta JohnMagufuli kutofuata mashinikizo ya baadhi ya watu ya kumtaka atekeleza ahadi zake kwa pupa.
Wamesema kuwa shinikizo la kutaka atekeleze ahadi zake haraka haraka inaweza kusabisha baadhi ya ahadi hizo kutekelezwa kwa ubora usiostahili.
Wakazi hao wa mkoa wa Manyara wametoa kauli hiyo leo mara baada ya dokta John Magufuli kuapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Askofu mkuu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmxEb-QNzz16tygNrPo*TdWkRsZ64aFzr5k-qhJ1wljswP2tKiT6kAb8s67vT2DtnICS7NoNFtMvRGRNGO2RnfEp/MAMAWEMA.jpg)
BARNABA, FALLY IPUPA ANAKUFAGILIA, SO WHAT?
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Diamond, P Square, Fally Ipupa pamoja
BAADA ya kutamba vilivyo na ngoma yake ya “My Number One Remex’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ anatarajia kupanda...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Ali Kiba aibuka na Fally Ipupa
NYOTA wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba, yupo mbioni kuachia wimbo aliomshirikisha msanii kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Fally Ipupa. Kwa mujibu wa mkali mwengine wa muziki...
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Fally Ipupa – Eloko Oyo
Msanii Fally Ipupa ameachia video mpya wimbo unaitwa “Eloko Oyo”, angalia hapa chini alafu toa komenti yako.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp
10 years ago
Bongo516 Mar
Barnaba: Fally Ipupa anakifurahia kipaji changu