Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEMED ACHUKIA KUITWA TOZI

Stori: Brighton Masalu
MSANII wa filamu na Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘PHD’ amefunguka kuwa anachukizwa na tabia ya watu kumwita tozi au mtu wa maringo. Hemed Suleiman ‘PHD’. Hapa anafafanua: “Wananihukumu kwa macho, mimi siyo tozi ila usafi wangu na kutoonekana mara kwa mara kunanifanya nionekana hivyo lakini kiuhalisia siko hivyo.”…
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Achukia Kuitwa Mshamba

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Shamsa Ford amewabwatukia baadhi ya watu ambao wanapenda kumsema kuwa yeye ni mshamba kwa kushindwa kutoka misele nyakati za usiku.

Akizungumza na mwandishi wa GPL, Shamsa alisema anawashangaa watu hao kumsema na kumjadili kwa watu wengine kuwa yeye ni mshamba kitu ambacho hakipendi kwani kila mtu ana aina yake ya maisha aliyoyachagua kuishi.

“Mimi sijawahi kumsumbua mtu hela ya kula hata siku moja kisa tu eti sijichanganyi na wanawake wa mjini, mimi familia...

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar aliyefariki katika ajali ya barabarani wakati akitoka mkutanoni Makunduchi. Mazishi hayo yamefanyika Msikiti Ngamia, Kilimahewa.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar...

 

5 years ago

Michuzi

MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED


issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Wolper, Mr Blue na Nyandu Tozi, Kunani?!!

Kupitia ukurasa wake matandaoni, Staa wa Bongo Movies,  Jackqueline Wolper ameshare picha hizi akiwa na mastaa wa Bongo Fleva, Mr Blue na Nyandu Tozi na kusema kuwa wapo kazini.

Wolper hakuweza kuweka wazi kama ni Movies au Music Video....

Yote kwa yote picha hizi zimewavutia wengi mtandaoni na kupata mafuliko ya LIKES na COMMENTS za kutosha.

Jionee picha hizo hapo juu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tozi wa Mbagala: Msanii anayewamezea mate Chamilion, Fally Pupa

“UNAJUA wakati nilivyokuwa nachekesha jukwaani nikishuka mashabiki hunilazimisha nipande tena, sasa nikajikuta ninawakosesha raha mashabiki wangu, ndipo nilipoamua nianze kuimba, na si kama sina kipaji la hasha! Huwa naimba katika...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Hemed PHD — Far Away

Video mpya ya msanii Hemed PHD wimbo unaitwa “Far Away” video imeongozwa na Msafiri Shabani kutoka kampuni ya Kwetu Studio

 

11 years ago

GPL

HEMED, MLELA BIFU PALEPALE!

Hemed (kushoto) akimtishia bastola Mlela Hemed na Mlela wakiwa wamelazwa hospitalini baada ya kuumizana huku mama yao akiwaangalia kwa huzuni…

 

11 years ago

GPL

HEMED: NIACHENI, NAOA SASA

Stori: Imelda Mtema
BRAZAMENI mwenye swaga za utozi kwenye soko la filamu Bongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ amewataka wanawake wanaommendea kukaa naye mbali kwani tayari anajiandaa kumuoa mpenzi wake aliyemtaja kwa jina la Muna. Hemed Suleiman ‘PHD’. Kuonesha msisitizo, Hemed alifunguka:
“Mambo ya ujana nimeyaweka kando, nimeamua kuoa kabisa maana ukiendekeza mambo ya ubachela siyo mazuri sana,...

 

11 years ago

GPL

RAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha daktari wa tiba ya michezo, Dk. Hemed Mziray kilichotokea juzi jijini Dar es Salaam. Dk. Mziray ambaye alikuwa mfanyakazi wa Hospitali ya Manispaa ya Temeke na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Tiba ya Michezo Tanzania (TASMA) amesafirishwa kwenda kwao mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi. Msiba huo ni mkubwa katika fani ya mpira wa miguu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani