BOZI: WASANII WENZANGU WALITAKA KUNIUA

Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amefunguka kuwa anaamini amepigwa ‘juju’ kutokana na kuugua ugonjwa ambao haukutambulika hospitalini. Akizungumza machache na paparazi wetu akiwa nyumbani kwake anapougulia maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Bozi alisema, anaamini amerogwa na wasanii wenzake wasiopenda maendeleo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Dec
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
10 years ago
GPL
RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!
10 years ago
GPL
SHILOLE: KUNA WATU WANATAMANI KUNIUA
11 years ago
Tanzania Daima06 Sep
WILLIAM MUSHI: Mke wangu alitaka kuniua
KUNA usemi unaosema ‘ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni’, hivi ndivyo ilivyotokea kwani huwezi kutarajia kuona ama kusikia mwanamke aliyebeba ujauzito kwa tabu na kuzaa kwa uchungu akatenda ukatili huu....
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Ukawa walitaka Bunge kuiwajibisha Serikali
9 years ago
Michuzi
EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI

Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.

KANISA la Evangelistic...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe
10 years ago
GPL
BOZI, ALLY NIPISHE WAMWAGANA