Ukawa walitaka Bunge kuiwajibisha Serikali
>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umelitaka Bunge kuiwajibisha serikali ikiwa Rais Jakaya Kikwete atashindwa kutekeleza maazimio ya Bunge ikiwemo kumng’oa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jun
Serikali haijui sababu za Ukawa kutoka nje ya Bunge
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameelezea kutofahamu sababu za baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoka nje ya Bunge hilo.
11 years ago
Habarileo30 Mar
Ukawa yapata Ukawa-nje ya Bunge
BAADA ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani ,vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge hilo (UKAWA- nje) na kupanga kuwashawishi wananchi nchi nzima kudai Katiba yenye kujali maslahi yao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBsmobvpHU2b0LzeFrTgzkMxdN0cbGWvzLZ3fPVJuzROXMSxbDe-vaUEpKlhVJwsXIqVD5tVoIhhBlA5h44atDnI/IMG20141114WA0001.jpg?width=650)
BOZI: WASANII WENZANGU WALITAKA KUNIUA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s72-c/1.jpg)
EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s640/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ueIXRbVUFnc/VlLVzKbe-1I/AAAAAAADCq4/rNYmPC-10Ig/s640/2.jpg)
KANISA la Evangelistic...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
UKAWA wasusia Bunge
HALI ya hewa ndani ya Bunge Maalumu la Katiba ilichafuka baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao kwa madai ya kuchoshwa kusikiliza matusi, ubaguzi na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UKAWA kuvunja Bunge
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetishia kuvunja Bunge Maalumu la Katiba iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kutumia rasimu yake badala ya kutumia rasimu ya pili iliyowasilishwa na Mwenyekiti...