EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s72-c/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.
KANISA la Evangelistic...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Tamasha la shukrani Novemba 25
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5LlYLDXnTXQ/VkxPaMVyHpI/AAAAAAADCi0/N5UwFSZF6Fw/s72-c/_MG_0928.jpg)
Kwaya ya Wakorintho wa pili kushiriki tamasha la shukrani
![](http://4.bp.blogspot.com/-5LlYLDXnTXQ/VkxPaMVyHpI/AAAAAAADCi0/N5UwFSZF6Fw/s400/_MG_0928.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema uongozi wa kwaya hiyo umekubali kushiriki katika tamasha hilo baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 nchini kote.
“Kwaya ya Wakorintho wa pili wameanza kuthibitisha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Apr
Mchungaji wa EAGT awaonya wanaopigia kampeni viongozi
MCHUNGAJI Bosco Maliga wa Kanisa la EAGT Majohe mji mpya Dar es Salam amewataka Watanzania kuyaogopa kama ukoma makundi ya watu wanaowapigia kampeni watu wengine ili wachaguliwe kuwa viongozi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRn38G3lpfWcRVm0kmJrrKUYN*ITfXChD8tkHHmFqpd8mHW9yTgw*cujKlmnmfxu2NYVGZZsu9XWmBJz9he1KBvW/IMG20140614WA0033.jpg?width=650)
TAMASHA LA KUZINDUA VIDEO YA MUUNGANO LAFANA MJINI DODOMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkuWHR5kMYhDdbjvBTUCc5l6yOZaax3aVZukJgr8i0s4ZxMnNOGsI7iZwLpjX6WN0sl5JUUgYlgrhYLazS-aiPd/IMG20140614WA0010.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA TAMASHA LA UZINDUZI WA WIMBO TUULINDE MUUNGANO DODOMA