Kwaya ya Wakorintho wa pili kushiriki tamasha la shukrani
![](http://4.bp.blogspot.com/-5LlYLDXnTXQ/VkxPaMVyHpI/AAAAAAADCi0/N5UwFSZF6Fw/s72-c/_MG_0928.jpg)
KWAYA ya Wakorintho wa Pili ya Wilayani Mafinga mkoani Njombe, imekuwa ya kwanza kuthibitisha kushiriki Tamasha la Kushukuru linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema uongozi wa kwaya hiyo umekubali kushiriki katika tamasha hilo baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 nchini kote.
“Kwaya ya Wakorintho wa pili wameanza kuthibitisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s72-c/Alex-Msama-640x458.jpg)
Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-dnZmx6exAac/VnFlC8s2d_I/AAAAAAADDxI/pp9JH3d93yY/s320/Alex-Msama-640x458.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Tamasha la shukrani Novemba 25
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s72-c/1.jpg)
EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s640/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ueIXRbVUFnc/VlLVzKbe-1I/AAAAAAADCq4/rNYmPC-10Ig/s640/2.jpg)
KANISA la Evangelistic...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Vikundi 65 kushiriki Tamasha la Sanaa
VIKUNDI 65 kutoka ndani na nje ya nchi vinatarajia kushiriki katika Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo kuanzia wiki ijayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
9 years ago
MichuziWASANII 74 WAOMBA KUSHIRIKI TAMASHA LA AMANI
Na Mwandishi WetuKAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Amani, imesema inapata wakati mgumu kuhusiana na idadi ya waimbaji ambao wanaomba kushiriki tamasha hilo litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama amesema wiki hii kuwa idadi ya wanaoomba washiriki tamasha hilo imekuwa kubwa kuliko kawaida, ambapo hadi juzi walikuwa waombaji wamefikia 74. “Tunapata maombi mengi, tunajitahidi kadri ya...
10 years ago
Vijimambo13 Jan
WASANII MJIANDIKISHE KUSHIRIKI TAMASHA LA MTANZANIA ,KOLON,UJERUMANI
Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon,Ujermani siku ya 8 November 2014 mnaombwa mjiandikishe kwa kuwasiliana katika namba ya simu +49(0)15778645623 .Tamasha hili linania ya kutangaza sanaa za maonyesho za Tanzania nchini ujerumani,wasanii wa ngoma za asili,Sarakasi,Maigizo, Muziki n.k mnakaribishwa kujiandikisha kushiriki Tamasha hili...
9 years ago
MichuziMSANII WA KENYA SARA K KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBE AMANI HAPA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Tamasha la AAF laanza kupokea maombi ya filamu zitakazoanza kushiriki mwaka huu
Thank you for your interest in the Arusha African Film Festival.
The festival is open to everyone with particular focus on the theme of AAFF: “Understanding Africa through Film.”
Filmmakers with stories and images that promote the understanding of Africa through film are most welcome to submit their films for the festival.
The categories are feature films, shorts and documentaries. All genres are welcome.
Films submitted should be of good production quality and of topical content that...
10 years ago
Michuzi14 Aug