Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwaya ya Wakorintho wa pili kushiriki tamasha la shukrani

KWAYA  ya  Wakorintho  wa Pili ya Wilayani Mafinga mkoani Njombe, imekuwa ya kwanza  kuthibitisha kushiriki Tamasha la Kushukuru linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema uongozi wa kwaya hiyo umekubali kushiriki katika tamasha hilo baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 nchini kote.
“Kwaya  ya Wakorintho wa pili  wameanza kuthibitisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wakorintho wapili kuzindua Mchepuko sio dili Tamasha la Krismasi

KWAYA ya Wakorintho Wapili ya Wilayani Mafinga mkoani Iringa inatarajia kuzindua albamu yake ya Mchepuko sio dili kwenye tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama albamu hiyo ina nyimbo nane ambazo zinafikisha ujumbe  wa neno la Mungu kwa jamii.Msama alizitaja nyimbo hizo ni pamoja na Tanzania, Mchepuko sio dili, Watenda mabaya, Ee bwana, Yahwe tunakuinua,...

 

9 years ago

Mwananchi

Tamasha la shukrani Novemba 25

Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amesema utulivu na amani iliyoonekana kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu imewafanya kuandaa tamasha la kumshukuru Mungu linalotarajiwa kufanyika Novemba 25 jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI



  Mwenyekiti  wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.

 KANISA la Evangelistic...

 

9 years ago

Habarileo

Vikundi 65 kushiriki Tamasha la Sanaa

VIKUNDI 65 kutoka ndani na nje ya nchi vinatarajia kushiriki katika Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni la Bagamoyo kuanzia wiki ijayo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.

 

9 years ago

Michuzi

WASANII 74 WAOMBA KUSHIRIKI TAMASHA LA AMANI

Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha la Amani, Alex Msama.
Na Mwandishi WetuKAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Amani, imesema inapata wakati mgumu kuhusiana na idadi ya waimbaji ambao wanaomba kushiriki tamasha hilo litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama amesema wiki hii kuwa idadi ya wanaoomba washiriki tamasha hilo imekuwa kubwa kuliko kawaida, ambapo hadi juzi walikuwa waombaji wamefikia 74. “Tunapata maombi mengi, tunajitahidi kadri ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WASANII MJIANDIKISHE KUSHIRIKI TAMASHA LA MTANZANIA ,KOLON,UJERUMANI

Tamasha litafanyika mjini Koloni,Ujerumani April 2015
Wasanii wanaotaka kushiriki katika katamasha la kongamano la wasanii wa Tanzania na afrika mashariki linalotarajiwa kufanyika mjini Kolon,Ujermani siku ya 8 November 2014 mnaombwa mjiandikishe kwa kuwasiliana katika namba ya simu +49(0)15778645623 .Tamasha hili linania ya kutangaza sanaa za maonyesho za Tanzania nchini ujerumani,wasanii wa ngoma za asili,Sarakasi,Maigizo, Muziki n.k mnakaribishwa kujiandikisha kushiriki Tamasha hili...

 

9 years ago

Michuzi

MSANII WA KENYA SARA K KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBE AMANI HAPA NCHINI

 Mwenyekiti wa kamati  Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama amesema  washiriki wa tamasha hilo ni waimbaji mbalimbali wa injili kama Solomon Mkubwa, Rose Mhando, Upendo Nkone, Boniface Mwaitege, kwaya ya  KKT ya  Dar es Salaam pamoja na kwaya mojawapo kutoka Iringa, amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Kulia niKatibu mkuu wa makanisa ya Kipendekote Askofu, David Mwasota akizungumza kuhusiana na tamasha hilo kuwa wananchi wakitokeze kwa wingi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la AAF laanza kupokea maombi ya filamu zitakazoanza kushiriki mwaka huu

CALL FOR SUBMISSIONS - AAFF 2015

Thank you for your interest in the Arusha African Film Festival.

The festival is open to everyone with particular focus on the theme of AAFF: “Understanding Africa through Film.”

Filmmakers with stories and images that promote the understanding of Africa through film are most welcome to submit their films for the festival.

The categories are feature films, shorts and documentaries. All genres are welcome.

Films submitted should be of good production quality and of topical content that...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani