Tamasha la shukrani Novemba 25
Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amesema utulivu na amani iliyoonekana kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu imewafanya kuandaa tamasha la kumshukuru Mungu linalotarajiwa kufanyika Novemba 25 jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s72-c/1.jpg)
EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s640/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ueIXRbVUFnc/VlLVzKbe-1I/AAAAAAADCq4/rNYmPC-10Ig/s640/2.jpg)
KANISA la Evangelistic...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5LlYLDXnTXQ/VkxPaMVyHpI/AAAAAAADCi0/N5UwFSZF6Fw/s72-c/_MG_0928.jpg)
Kwaya ya Wakorintho wa pili kushiriki tamasha la shukrani
![](http://4.bp.blogspot.com/-5LlYLDXnTXQ/VkxPaMVyHpI/AAAAAAADCi0/N5UwFSZF6Fw/s400/_MG_0928.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema uongozi wa kwaya hiyo umekubali kushiriki katika tamasha hilo baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 nchini kote.
“Kwaya ya Wakorintho wa pili wameanza kuthibitisha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GOZ5rd89yBc/VjcRQXTp57I/AAAAAAAAPr4/9Ns4Xlx3A54/s72-c/Picture%2B809.jpg)
TAMASHA LA UTALII NA AMANI KUFANYIKA NOVEMBA 22 ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOZ5rd89yBc/VjcRQXTp57I/AAAAAAAAPr4/9Ns4Xlx3A54/s640/Picture%2B809.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lUkP_iXDmuI/VjcRikL4cgI/AAAAAAAAPsA/g3YeXHrIKx0/s640/Picture%2B808.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3Q-VE0xujSs/VjcSGF0ldHI/AAAAAAAAPsQ/MHNLp3DxAbw/s640/Picture%2B789.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Yq7a7ZNZZl4/VjcR8tTQGYI/AAAAAAAAPsI/QyMM6pQTM7s/s640/Picture%2B803.jpg)
Na Woinde...
10 years ago
Michuzi28 Sep
TAMASHA LA UPENDO WA MAMA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 NOVEMBA 2014
![SAM_0646](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/e3dJmXhQjId3suQ-VncEKuBoqKGItya038ImIBr44wcMwW_iZSpWMUoQVhAuYQGeEdaNeLux2-XcOEP6lgKJXv4ZouxWL-0qs1N6l2HErIvRmcQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0646.jpg)
![SAM_0669](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/jCOhgEN4EY_XZG2OID_g6zWjwDfUir9oIPeLCF55FDSghIZXnhuHHFo9HElqr-Rje3gBqrAN19lFtedPJSzQ_mFvaXIr4vNP4hm8yUPfEIQJBw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0669.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Mar
Tamasha la Karibu International Music Festival kufanyika novemba, 2015 mjini Bagamoyo
Mratibu wa Tamasha la Karibu International Music Festival, Richard Lupia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu tamasha la pili litakalofanyika mwezi Novemba mwaka huu katika viwanja vya Mwanakalenge Bagamoyo. Tamasha hilo limeandaliwa na Taasisi ya Karibu Cultural Promotion na kuratibiwa na Kampuni ya Legendary Music Entertainment. Kulia ni Ofisa Habari wa Kampuni ya Karibu International Music Festival, Said Hashim.
Wanahabari wakichukua...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s72-c/b1.jpg)
Tamasha la Karibu Music Bagamoyo Limerudi Tena Sasa ni tarehe 6,7 na 8 Novemba, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-W5MkaOyBUfU/Vi5b58js4aI/AAAAAAAIC3c/acgefras5kU/s640/b1.jpg)
9 years ago
MichuziPAPA WEMBA KUTUMBUIZA TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL NOVEMBA 6-8 MWAKA HUU
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Nguli wa muziki Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Music Festival Novemba 6-8 mwaka huu
Ofisa Mauzo wa Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO), Ernest Biseko katikati ambao ni waratibu wa Tamasha la Karibu Music Festival akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. kushoto ni ni msanii, Jhikolabwino Manyika – Jhikoman na Meneja Uvumbuzi wa kinywaji cha Jebel cha Kampuni ya SBL, Attu Mynah
MWANAMUZIKI nguli wa dansi kutoka nchini Congo DR, Papa Wemba ni miongoni mwa wasanii wanaotarajia kutumbuiza katika tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu...
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Matokeo ya jana Jumamosi Novemba 7 na ratiba ya michezo ya leo Novemba 8 katika ligi kubwa tano (5) barani Ulaya
ENGLAND – PRIMEAR LEAGUE
Bournemouth 0 – 1 Newcastle United
West Ham United 1 – 1 Everton
Sunderland 0 – 1 Southampton
Norwich City 1 – 0 Swansea City
Manchester United 2 – 0 West Bromwich Albion
Leicester City 2 – 1 Watford
Stoke City 1 – 0 Chelsea
HISPANIA- PRIMERA DIVISION
Celta de Vigo 1 – 5 Valencia
Levante 1 – 1 Deportivo de La Coruña
Eibar 3 – 1 Getafe
Rayo Vallecano 2 – 1 Granada
Málaga 0 – 1 Real Betis
UJERUMANI – BUNDESLIGA
FSV Mainz 2 – 0 VfL Wolfsburg
Bayer Leverkusen 1 – 2...