Professor J adai atafanya muziki kwa viwango vikubwa zaidi
Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor J, amesema baada ya kushinda kiti cha ubunge atafanya muziki wake kwa ufanisi kushinda kipindi cha nyuma.
</
Jay amesema umefika wakati wa yeye kufanya collabo na wasanii wakubwa. “Naendelea kufanya sanaa yangu na huenda nikaifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi,” Jay aliiambia East Africa Radio wiki iliyopita.
“Unaweza ukasikia watanzania wanafanya kazi na akina Eminem na Jay Z, kwahiyo nategemea kufanya kwa next level kwa sababu naamini...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo
![10919100_282718041852156_79790684_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10919100_282718041852156_79790684_n1-300x194.jpg)
Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.
Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.
“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.
“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...
9 years ago
Bongo530 Oct
Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay
![Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Professor-akiwa-kwenye-shughuli-za-kisiasa-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
![kamikaze](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kamikaze-300x194.jpg)
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
9 years ago
StarTV09 Sep
Mlinzi wa kiwanja kwa zaidi ya miaka 20 adai haki zake
Serikali na taasisi za haki za binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassan Kilopola kupata haki yake ya kulipwa malimbikizo ya mshahara wa miaka 25 ya ulinzi wa Kiwanja nambari 24, Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Mlinzi huyo anadai malimbikizo ya mshahara huo tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa kiwanja hicho Abbullih Majid anayedaiwa kufariki dunia.
Kiwanja hicho kwa sasa kinadaiwa kuuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake Suleiman...
10 years ago
Bongo520 Oct
Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni
9 years ago
Bongo529 Sep
Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao
9 years ago
Bongo528 Oct
Mabeste adai haumii muziki kutomlipa
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Shilole Shishi Baby atua Ubelgiji kwa kishindo…Ijumaa atafanya show Leuven na Jumamosi Brussel
Furaha ilishika nafasi pale mwanadada Shilole alipowasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zaventem jijini Brussel.
Msanii Shishi Baby Shilole akipata picha na mmoja wa sapota wake bidada Latifa
9 years ago
Bongo507 Oct
Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka