Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika

Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika-BBC

Mabingwa watetezi wa kombe la Afrika Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika mwaka 2015 huku Afrika kusini na Cameroon zikifuzu katika kinya'nganyiro hicho.

Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.

Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dimba la afrika 2015:Nigeria ina kibarua

Bingwa mtetezi Nigeria imekumbwa na changamoto uwanjani na nje ya uwanja, hali ambayo huenda ikaathiri nafasi yake kutetea ubingwa

 

9 years ago

MillardAyo

Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]

The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya Michuano ya Europa ligi

2754

Michuano ya Europa ligi imeendelea usiku wa Dec 10 jana kwa mechi kadhaa,Miongoni mwa mechi hizo ni mchezo kati ya FC Sion ya Uswiss dhidi ya Liverpool ya Uingereza ambazo zimetoshana nguvu ya bila kufungana Tottenham imeiadhibu Monaco kwa ushindi wa bao 4 – 1,

2754

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE JANA
Lech Poznan 0 – 1 FC Basel
Athletic Club 2 – 2 AZ
St Etienne 1 – 1 Lazio
Sporting Lisbon 3 – 1 Besiktas
RSC Anderlecht 2 – 1 FK Qarabag
Fiorentina 1 – 0 Belenenses
Partizan Belgrade 1 – 3 FC...

 

11 years ago

BBCSwahili

Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika

Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika

Tanzania yachagua timu kuzikabili nchi nyingine za Afrika katika wavu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutafuzu michuano ya Mataifa ya Afrika.

TFF imesema limeweka malengo ,timu ya taifa ya vijana ya U17 inafuzu kucheza fainali za Mataifa Afrika 2017 Madagscar

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika

Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya gofu Afrika kufanyika Zambia

Michuano ya Afrika golf kwa vijana chini ya miaka 18 itafanyika May nchini Zambia na Tanzania inakusudia kushiriki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani