Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE

Stori:   makongoro oging’
“Maishi yangu yako hatarini, nachungulia kaburi, nimeteseka kwa muda mrefu bila kupona wala msaada, nimetoka katika ukoo maskini unaotegemea kwa asilimia kubwa kilimo cha jembe la mkono, nitapata wapi shilingi milioni moja na laki tano na arobaini na tano elfu ili nikatibiwe?”
Hii ni sehemu ya kilio cha Steven John anayesumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya tumbo. Steven John...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ukuta kuadhibu waendao haja ndogo ovyo

Manispaa moja jijini London imeanza kutekeleza mbinu mpya ya kukabiliana na waendao haja ndogo ovyo ovyo kwa kuweka rangi yenye uwezo wa kurushia anayekojoa mkojo wake kwenye kuta.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ni vema wanaume waende haja ndogo wamesimama au wameketi?

Wengi wa wanaume huenda haja ndogo bila kufikiria, lakini ni nini huwafanyanya wachague njia ya kujisaidia haja ndogo? Kuna sababu muhimu - utamaduni, jamii na hata siasa - ambazo zimewafanya wanaume waende haja hiyo namna hiyo, lakini labda ni wakati wa kuzingatia suala la mtizamo wa kiafya na usafi.

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA YA ZINAA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO-2

Dalili, mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo, kwa mwanaume hutokwa na manii zilizochanganyika na damu, kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu, kutoa mkojo kidogo sana tena kwa shida, kukojoa mara kwa mara na kushindwa kumaliza mkojo wote. Wengine huona dalili za mkojo kujitokea wenyewe, hivyo mhusika kujikojolea, kusikia maumivu wakati wa kukojoa au chini ya tumbo au kwenye kinena, mkojo kutawanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la kupata haja kubwa

Ni tatizo linalokua kwa kasi kwa sasa kutokana na mfumo wa maisha yasiyokuwa na mazoezi ya kutosha, vyakula vya kisasa na kuacha vya asili na pia kuongezeka kwa magonjwa katika jamii mfano kisukari, kiharusi na kadhalika.

 

11 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA

TATIZO hili huwapata wanaume na wanawake. Matatizo haya hujitokeza katika hali ya tofauti kutegemea na chanzo halisi. Mfumo wa haja kubwa ni pamoja na mfuko wa kuhifadhia haja kubwa ‘rectum’ na sehemu haja inapokea ‘anus’. Ulaji usiofaa wa vyakula huchangia tatizo hili endapo hupati choo laini mara kwa mara. Jinsi ya tatizo linavyotokea
Kukosa kupata choo kikubwa mara kwa mara ni mojawapo ya tatizo...

 

10 years ago

GPL

MTOTO AZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA

Joseph Ngilisho, Arusha
MTOTO Salma Omary (3) mkazi wa Banda Mbili, Sombetini jijini hapa, anaishi kwa  mateso makali baada ya kuzaliwa akiwa hana sehemu ya haja kubwa, hali iliyolazimu kujisaidia kupitia tundu lililotobolewa tumboni kwake.Mama mzazi wa mtoto huyo, Mariamu Andrea (28) aliliambia gazeti hili kuwa zinahitajika kiasi cha shilingi milioni moja ili aweze kutibiwa katika hospitali ya KCMC mjini Moshi na kuwa mzazi...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA NYAMA KUJITOKEZA NJIA YA HAJA KUBWA {HEMORRHOID}

Wiki iliyopita tuliweza kuona nini maana kubwa ya tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika sehemu au maeneo ya haja kubwa na leo tutaweza kuona basi vyanzo au visababishi hasa vya tatizo hili kwa mwanadamu. VISABABISHI
Sasa wataalamu bado hawajawa na majibu kamili kuhusiana na tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika maeneo ya haja kubwa husababishwa na kitu gani hasa lakini wameweza kutoa baadhi ya vitu ambavyo vinaaminika...

 

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-3

Naendelea kuelezea tatizo la uvimbe katika njia ya haja kubwa, lengo likiwa ulifahamu kwa kina na ujue dalili na namna ya kuliepuka. Uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Wengi wanaona uvimbe lakini wanaona ni kama kitu cha kawaida na wanapata maumivu ya vimbe hizo bado wanavumilia. Naomba ufahamu kuwa si kawaida kuwa na uvimbe katika tundu la haja kubwa. Uvimbe huo ni dalili za kuwa mhusika ana Bawasiri hivyo ni vema...

 

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-2

Wiki iliyopita tulianza kupeana elimu juu ya tatizo la kuota kijinyama katika njia ya haja kubwa (bawasiri). Tuliangalia chanzo cha ugonjwa huu na nikawapa ushauri kwamba ukiona una tatizo hilo ni vema ukawa huru maana ni ugonjwa wa kawaida na unatibika kama magonjwa mengine. Hivyo ni vema ukawahi katika vituo vya tiba ili upate matibabu mapema na kuepukana na adha za ugonjwa husika. Leo tutaangalia dalili za ugonjwa huu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani