Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-3

Naendelea kuelezea tatizo la uvimbe katika njia ya haja kubwa, lengo likiwa ulifahamu kwa kina na ujue dalili na namna ya kuliepuka. Uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Wengi wanaona uvimbe lakini wanaona ni kama kitu cha kawaida na wanapata maumivu ya vimbe hizo bado wanavumilia. Naomba ufahamu kuwa si kawaida kuwa na uvimbe katika tundu la haja kubwa. Uvimbe huo ni dalili za kuwa mhusika ana Bawasiri hivyo ni vema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-4

MpendwA msomaji ningependa kukukumbusha mada ya wiki iliyopita kabla sijaendelea na mada ya leo.
 Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la Bawasiri au ugonjwa wa kuota kijinyama katika njia ya haja kubwa na tulijikita katika dalili za ugonjwa huu. Leo  tutaangalia matibabu ya ugonjwa huu wa katika pande zote mbili za matibabu, yaani tiba asili na tiba za kizungu.
Matibabu ya dawa za hospitali au dawa za kizungu yamekuwa na...

 

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-2

Wiki iliyopita tulianza kupeana elimu juu ya tatizo la kuota kijinyama katika njia ya haja kubwa (bawasiri). Tuliangalia chanzo cha ugonjwa huu na nikawapa ushauri kwamba ukiona una tatizo hilo ni vema ukawa huru maana ni ugonjwa wa kawaida na unatibika kama magonjwa mengine. Hivyo ni vema ukawahi katika vituo vya tiba ili upate matibabu mapema na kuepukana na adha za ugonjwa husika. Leo tutaangalia dalili za ugonjwa huu wa...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA NYAMA KUJITOKEZA NJIA YA HAJA KUBWA {HEMORRHOID}

Wiki iliyopita tuliweza kuona nini maana kubwa ya tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika sehemu au maeneo ya haja kubwa na leo tutaweza kuona basi vyanzo au visababishi hasa vya tatizo hili kwa mwanadamu. VISABABISHI
Sasa wataalamu bado hawajawa na majibu kamili kuhusiana na tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika maeneo ya haja kubwa husababishwa na kitu gani hasa lakini wameweza kutoa baadhi ya vitu ambavyo vinaaminika...

 

11 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA

TATIZO hili huwapata wanaume na wanawake. Matatizo haya hujitokeza katika hali ya tofauti kutegemea na chanzo halisi. Mfumo wa haja kubwa ni pamoja na mfuko wa kuhifadhia haja kubwa ‘rectum’ na sehemu haja inapokea ‘anus’. Ulaji usiofaa wa vyakula huchangia tatizo hili endapo hupati choo laini mara kwa mara. Jinsi ya tatizo linavyotokea
Kukosa kupata choo kikubwa mara kwa mara ni mojawapo ya tatizo...

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la kupata haja kubwa

Ni tatizo linalokua kwa kasi kwa sasa kutokana na mfumo wa maisha yasiyokuwa na mazoezi ya kutosha, vyakula vya kisasa na kuacha vya asili na pia kuongezeka kwa magonjwa katika jamii mfano kisukari, kiharusi na kadhalika.

 

11 years ago

GPL

MTOTO MIAKA 3 AJISAIDIA HAJA KUBWA KWA NJIA YA MDOMO

Stori: Makongoro Oging’ MASKINI Mungu wangu! Ndiyo maneno aliyoanza nayo kusema mama mzazi wa mtoto Salome Abdallah Said (3), kutokana na mwanaye huyo afya yake kuzidi kubadilika kufuatia kuumwa mara kwa mara licha ya kufanyiwa upasuaji mara mbili. Mtoto Salome Abdallah Said (3) akiwa na kovu tumboni baada ya upasuaji. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita mama wa mtoto huyo Veronica Laurent, mkazi wa Bunju B, jijini...

 

9 years ago

Mwananchi

Bawasiri inatibika kwa njia za kisayansi

Mmoja wa wasomaji wa gazeti hili aliyejitambulisha kwa jina moja la Michael anauliza: “Katika sehemu zangu za haja kubwa, kuna vivimbe kama vitatu na ninapata taabu kukaa. Nimetumia dawa aina ya Anusol lakini bado sijapata nafuu, je naweza kutibiwa kwa njia gani za kisasa?” Msomaji mwingine nae anauliza: “Je dawa ya ugonjwa wa Bawasiri ni ipi hasa?”

 

10 years ago

Michuzi

uhaba wa walimu na watalamu wa kundisha namna ya ukataji vito na madini ni tatizo kubwa katika sekta ya madini

Na Woinde Shizza,Arusha
Sekta ya madini nchini bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uhaba wa walimu na wataalamu wa kufundisha namna ya ukataji wa vito vya madini hali inayosababisha kuuzwa kwa madini ghafi nje ya nchi na kupelekea kuuzwa kwa bei ya chini na pesa nyingi kwenda nje ya nchi .
Hayo yameelezwa na mratibu wa kituo cha Jimolojia Tanzania,Musa Shanyangi wakati akiongea na waandishi wa habari katika kituo hicho kinachotoa mafunzo ya ukataji madini ya vito,ambapo wameanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani