Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je ni vema wanaume waende haja ndogo wamesimama au wameketi?

Wengi wa wanaume huenda haja ndogo bila kufikiria, lakini ni nini huwafanyanya wachague njia ya kujisaidia haja ndogo? Kuna sababu muhimu - utamaduni, jamii na hata siasa - ambazo zimewafanya wanaume waende haja hiyo namna hiyo, lakini labda ni wakati wa kuzingatia suala la mtizamo wa kiafya na usafi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume huru kujisaidia wakiwa wamesimama

Mahakama moja nchini Ujerumani imempa idhini mwanamaume mmoja kujisaidia haja ndogo akiwa amesimama baada ya mwenye nyumba kutaka alipwe akidai kuwa sakafu ya bafu lake iliharibiwa na mkojo wa mpangaji wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukuta kuadhibu waendao haja ndogo ovyo

Manispaa moja jijini London imeanza kutekeleza mbinu mpya ya kukabiliana na waendao haja ndogo ovyo ovyo kwa kuweka rangi yenye uwezo wa kurushia anayekojoa mkojo wake kwenye kuta.

 

10 years ago

GPL

HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE

Stori:   makongoro oging’
“Maishi yangu yako hatarini, nachungulia kaburi, nimeteseka kwa muda mrefu bila kupona wala msaada, nimetoka katika ukoo maskini unaotegemea kwa asilimia kubwa kilimo cha jembe la mkono, nitapata wapi shilingi milioni moja na laki tano na arobaini na tano elfu ili nikatibiwe?”
Hii ni sehemu ya kilio cha Steven John anayesumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya tumbo. Steven John...

 

9 years ago

Mwananchi

Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni sababu za mtu kukojoa mkojo wenye rangi ya njano, kwenda haja ndogo mara kwa mara na hisia za maumivu wakati ukiwa na mkojo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’

DSC_1999Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga  asubuhi ya leo wameweza  kusimamisha baadhi ya shughuli  eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya  kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi. 
 Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini. 
 Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...

 

9 years ago

Dewji Blog

ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya

DSC_0554

 

Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).

DSC_0606

Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...

 

9 years ago

Vijimambo

TAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA


Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika ( ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika mafunzo hayo ya siku tano yaliyolenga kuwapatia...

 

11 years ago

Michuzi

ujerumani leo yaigaragaza Ureno ya Cristian Ronaldo 4-0 kama wamesimama vile.....

 Na Sultani Kipingo Ushindi kwa Ujerumani ulitegemewa, ukizingatia Ureno  ni kama kwamba timu ya mtu mmoja – Ronaldo. Lakini ukweli ni kwamba isingekuwa hivyo baada ya Pepe kuoneshwa kadi nyekundu katika kipindi cha kwanza. Ila mechi hii haikuwa ni juu ya Pepe, na wala haikuwa ya Miroslav Klose, na hata haikuwa juu ya Cristiano Ronaldo. Mechi yote hii ilikuwa juu ya Thomas Muller.  Mshambuliaji huyu wa Ujerumani tayari ameshaanza mbio kuelekea kwenye mstari wa mwisho wa mfungaji bora wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani