Je ni vema wanaume waende haja ndogo wamesimama au wameketi?
Wengi wa wanaume huenda haja ndogo bila kufikiria, lakini ni nini huwafanyanya wachague njia ya kujisaidia haja ndogo? Kuna sababu muhimu - utamaduni, jamii na hata siasa - ambazo zimewafanya wanaume waende haja hiyo namna hiyo, lakini labda ni wakati wa kuzingatia suala la mtizamo wa kiafya na usafi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Wanaume huru kujisaidia wakiwa wamesimama
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Ukuta kuadhibu waendao haja ndogo ovyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6wNpcw15OKLp*C3hFMPKQz2Uu-ulez9QACBBOYGbU3pd3jaT1qDZI4ay13MgxfUdnRdjr-WNsOM4EtE9V4A19/mgonjwa.gif?width=650)
HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’
Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga asubuhi ya leo wameweza kusimamisha baadhi ya shughuli eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s72-c/guns.jpg)
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s1600/guns.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya
Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).
Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...
9 years ago
VijimamboTAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0147uEkfQ8o/U58zs1NM7sI/AAAAAAAFrIE/DGAFftIcnEw/s72-c/article-2658453-1ED2CC3300000578-228_964x356.jpg)
ujerumani leo yaigaragaza Ureno ya Cristian Ronaldo 4-0 kama wamesimama vile.....
![](http://3.bp.blogspot.com/-0147uEkfQ8o/U58zs1NM7sI/AAAAAAAFrIE/DGAFftIcnEw/s1600/article-2658453-1ED2CC3300000578-228_964x356.jpg)