Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo mpya watatiza Dimba la Brazil

Hofu yakumba maandalizi ya kombe la dunia baada ya Wafanyikazi wa usafiri kuamua kuendelea na mgomo wao jijini Sao Paulo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wasio makaazi wasitisha mgomo Brazil

Watu wasio na makaazi waliokuwa wakishiriki maandamano makubwa Brazil sasa wakubaliana na Serikali kuyasitisha.

 

9 years ago

Mtanzania

Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo

NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.

Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA WAENDELEA KUCHUKUA SURA MPYA

Kikosi cha usalama cha Jeshi la Polisi kikiwa katika eneo la Mbagala rangi tatu kuhakikisha hali ya usalama inapatikana kufuatia Mgomo wa Madereva wa Mabasi ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao kutoka kwa Serikali. Mabasi yanayofanya safari zake kati ya Dar es salaam na mikoa ya kusini yakiwa yameegeshwa kwenye kituo cha Mbagala langi tatu, kufuatia Mgomo wa Madereva ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao kutoka kwa Serikali. hadi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahuni watatiza Bitcoin

Ni wakati mgumu kwa Bitcoin ambayo inaarifiwa imeshambuliwa na wahuni

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani watatiza uchaguzi Thailand

Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu

 

9 years ago

BBCSwahili

Wadukuzi watatiza tovuti za BBC

Tovuti zote za BBC leo zimekumbwa na matatizo kwa saa kadha baada ya kuvamiwa na wadukuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukosefu wa taa watatiza hesabu ya kura Pemba

Baada ya watanzania wanapiga kura Oktoba 25 kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete shughuli ya kuhesabu kura imeanza tayari

 

11 years ago

GPL

BRAZIL KUMTANGAZA KOCHA MPYA

Luiz Felipe Scolari. BRAZIL inatarajia kumtangaza kocha wake mpya katika mkutano na wanahabari Julai 22 mwaka huu kufuatia kujiuzulu kwa kocha wa timu hiyo, Luiz Felipe Scolari. Scolari mwenye umri wa miaka 65 aliiongoza Brazil katika Kombe la Dunia ambapo timu hiyo ilipata kichapo kibaya cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe hilo Ujerumani. Aliyekuwa kocha wa timu hiyo ambaye aliiongoza kati ya mwaka 2006 na 2011 huenda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yazindua mpango mpya wa Usalama

Brazil imeongeza maafisa 70,000 zaidi kuimarisha usalama katika fainali za Kombe la Dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani