Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana ailaumu Benki ya Dunia

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia kwa urasimu uliokithiri na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini, badala ya kuzisaidia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kinana sasa alia na Benki ya Dunia

 Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia(WB) kwa urasimu na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini badala ya kuzisaidia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Benki ya dunia yasaidia Ebola

Benki ya Dunia imetangaza kutoa msaada wa hadi dola milioni mia mbili, ili kuzisaidia tatu za Afrika magharibi kukabiliana na Ebola.

 

10 years ago

Habarileo

Benki ya Dunia yaridhishwa na DART

Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mkuu Uendeshaji wa Benki ya Dunia, Sri Mulyani IndrawatiBENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na kuahidi kuhakikisha awamu zote za mradi zinakamilika kwa uhakika.

 

10 years ago

Mwananchi

Benki ya Dunia kuipangilia D’Salaam

Benki ya Dunia imetoa mikopo mitatu ya Sh710 bilioni (Dola 396 milioni za Marekani) kwa Serikali ili kusaidia kukuza miundombinu katika Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, kusaidia masuala ya uvuvi na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu.

 

10 years ago

Habarileo

Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania

BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.

 

11 years ago

Mwananchi

Benki ya Dunia yaipongeza Tasaf

Benki ya Dunia(WB),imeridhika na matumizi ya fedha inazozitoa katika miradi ya kuondoa umaskini kwa kaya maskini nchini inayoendeshwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf).

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani