Benki ya Dunia yaipongeza Tasaf
Benki ya Dunia(WB),imeridhika na matumizi ya fedha inazozitoa katika miradi ya kuondoa umaskini kwa kaya maskini nchini inayoendeshwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Sep
Benki ya Dunia, wadau waridhishwa na Tasaf
WADAU wa maendeleo wanaofadhili mpango wa utoaji fedha kwa kaya masikini, wameeleza kuridhishwa na Serikali inavyoutekeleza kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf).
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YvOnlZbIJGM/XuXu-pgHdsI/AAAAAAAEHzs/dPaRKMwmpewQjv4NJN5nJTuXzuUAYwUmgCLcBGAsYHQ/s72-c/Minister%2BMpango.jpg)
Serikali Yaipongeza Benki Ya Exim Kwa Kuwalinda Wateja Na Athari Za Covid 19
10 years ago
Habarileo29 Aug
Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
10 years ago
Habarileo25 Sep
Kinana ailaumu Benki ya Dunia
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia kwa urasimu uliokithiri na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini, badala ya kuzisaidia.
10 years ago
Habarileo12 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa na DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na kuahidi kuhakikisha awamu zote za mradi zinakamilika kwa uhakika.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Benki ya dunia yasaidia Ebola
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Benki ya Dunia kuipangilia D’Salaam