Benki ya Dunia, wadau waridhishwa na Tasaf
WADAU wa maendeleo wanaofadhili mpango wa utoaji fedha kwa kaya masikini, wameeleza kuridhishwa na Serikali inavyoutekeleza kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Benki ya Dunia yaipongeza Tasaf
Benki ya Dunia(WB),imeridhika na matumizi ya fedha inazozitoa katika miradi ya kuondoa umaskini kwa kaya maskini nchini inayoendeshwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf).
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiwahutubia wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Buma wilayani Bagamoyo. Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus…
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bwana Kyle Peters amefanya ziara katika kijiji cha Buma wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ambako ameshuhudia walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF na kuridhishwa kwake na namna mpango huo ulivyowanufaisha walengwa ambao wameanza kuondokana na umaskini.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3-taND1wp48/VVNBQj5nz5I/AAAAAAAC4Vw/mZL5M2gHCkQ/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
TASAF, Wadau wa maendeleo wafanya tathmini
Mfuko wa Maendeleo ya jamii-TASAF kwa ushirikiano na wadau wa Maendeleo wameanza mkutano wiki mbili wa tathmini ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini -PSSN unaosimamiwa na mfuko huo.
Zifuatazo ni picha zikionyesha wadau hao wa maendeleo na watendaji wa TASAF wakiwa katika kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga katika ukumbi wa mikutani wa Makao makuu ya mfuko huo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau...
Zifuatazo ni picha zikionyesha wadau hao wa maendeleo na watendaji wa TASAF wakiwa katika kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga katika ukumbi wa mikutani wa Makao makuu ya mfuko huo jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3-taND1wp48/VVNBQj5nz5I/AAAAAAAC4Vw/mZL5M2gHCkQ/s640/New%2BPicture%2B(1).png)
10 years ago
MichuziTASAF NA WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF na wadau wa Maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi wameanza Mkutano wa kupitia mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya maskini,PSSN unaoratibiwa na Mfuko huo nchini.
Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango huo unaowahusisha wataalamu mbalimbali kutoka Taasisi za Fedha na mashirika ya misaada ya kimataifa utawawezesha pia wataalamu hao kutembelea maeneo kadhaa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini katika mikoa y Dodoma, Lindi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua mkutano wa wadau wa Maendeleo,maafisa wa…
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Benki yahimiza wadau kusaidia wenye shida
WADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kusaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kupata huduma bora za jamii zikiwemo za elimu, malazi na afya ili kuweza kujenga jamii bora Tanzania. Mkuu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania