Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana sasa alia na Benki ya Dunia

 Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia(WB) kwa urasimu na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini badala ya kuzisaidia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kinana ailaumu Benki ya Dunia

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia kwa urasimu uliokithiri na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini, badala ya kuzisaidia.

 

11 years ago

Mwananchi

Prof Tibaijuka alia na riba kubwa za benki

>Riba kubwa za beki ni changamoto kubwa inayoikabili sekta ya nyumba nchini hali ambayo inasababisha nyumba zinazokopeshwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), zionekane zina bei kubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DEKULA KAHANGA ‘VUMBI’: Baada ya msoto, sasa alia kivulini Sweden

DEKULA Kahanga ‘Vumbi’, Aprili 4, mwaka huu, alitimiza miaka 52 ya kuzaliwa kwake. Alizaliwa katika Kijiji cha Lumera, Wilaya ya Kivu, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ni...

 

10 years ago

Mtanzania

Jeshi sasa kuanzisha benki

GRACE SHITUNDU NA ESTHER MNYIKA
CHAMA cha Akiba na Mikopo cha Ngome (Ngome Saccos) kinachoendeshwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ) kimewataka maofisa na askari kujiunga nao ili kufikia lengo la kuanzisha benki yao wenyewe itakayoitwa Ngome Benki.

Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa chama hicho, Kanali Charo Yateri, wakati akitoa taarifa katika semina ya wakuu wa vikosi, vyuo na shule za mafunzo ya jeshi iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl.

Alisema benki hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

TCCIA sasa kuanzisha Benki ya Maendeleo

Chama cha Wafanyabiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA) Mkoa wa Rukwa, kimeanza mchakato wa uanzishaji benki itakayo wawezesha wanachama wake kuweza kupata mikopo yenye riba nafuu kupitia benki hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana sasa awapoza wachimbaji Mirerani

Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana amesema Serikali imesitisha uamuzi wa kufuta leseni ya migodi 18 ya madini ya tanzanite kwenye mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro inayopakana na Kampuni ya TanzaniteOne.

 

9 years ago

Habarileo

Kinana: Kazi sasa ni kutekeleza Ilani

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema ushindi wa urais wa Dk John Magufuli kupitia chama hicho, ni ishara kuwa wananchi wameendelea kuiamini CCM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani