Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEKULA KAHANGA ‘VUMBI’: Baada ya msoto, sasa alia kivulini Sweden

DEKULA Kahanga ‘Vumbi’, Aprili 4, mwaka huu, alitimiza miaka 52 ya kuzaliwa kwake. Alizaliwa katika Kijiji cha Lumera, Wilaya ya Kivu, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mahojiano ya Dekula Kahanga "Vumbi" na Kwanza Production

Karibu katika mahojiano ya Kwanza Production na Dekula Kahanga "Vumbi" Vumbi ambaye anamiliki Dekula Band nchini Sweden. Amezungumzia mambo mengi ikiwa ni pamoja na uzinduzi wa albamu yake mpya ya Shujaa Mamadou Ndala iliyozinduliwa Aprili 23 na 24 mwaka huu  huko Sweden. Pia, ametoa ushauri kwa wasanii wa Afrika Mashariki wanaotaka kufanya muziki nchi za Scandinavia. KARIBU UUNGANE NASI Kwa maoni na ama ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail.com

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya TUSKER ‘Fanyakweli Kiwanjani’ sasa kutimua vumbi mikoani

Tusker logo

Kampeni maarufu ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inatarajia kutimua vumbi wiki hii kwa wakazi wa jiji la Dar huku ikitanua wigo wake mikoani baada ya kufanya vizuri kwenye kipindi chake cha kwanza.

Kampeni hii inayoletwa kwenu na Kampuni ya bia ya Serengeti imejipanga kusaidia baa mbalimbali za mitaa tunayoishi na kuzipigia promo ya huduma zake kwa wapenzi mbalimbali wa kinywaji cha Tusker.

Akizungumza kuhusiana na mchakato mzima  wa Kampeni hiyo Meneja chapa bia ya Tusker Bi. Sialouise Shayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana sasa alia na Benki ya Dunia

 Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia(WB) kwa urasimu na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini badala ya kuzisaidia.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ojuelegba’ ni msoto niliopitia maishani

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Unapotaka kujua ukweli kwa kauli hii msikilize Wizkid, mkali wa wimbo “Ojuelegba” ambaye ameamua kuweka bayana ukweli kuhusu maisha yake kabla ya kuwa nyota katika muziki. “Ojuelegba” ni jina la wimbo ambao mastaa wa Hollywood wameukubali na kuamua kuufanyia remix.

 

9 years ago

Michuzi

Mgahawa wa Chef issa mjini Trollhatan, sweden, walisha waombolezaji 1000 baada ya mazishi ya mwafrika aliyeuwawa kibaguzi

Mnamo tarehe 22/10/2015 kijana mmoja wa Kiswedish alivamia shule ya Krona iliyopo mji wa Trollhatan uliopo jirani na mji wa Goteborg ambao ni mji wa pili kwa ukubwa nchini Sweden.Kjjana huyo alivamia shule hiyo akiwa amevalia mavazi ya Halloween na kuanza kuchoma visu watoto . Alifanikiwa kuchoma visu walimu wawili na watoto wawili na maaaskari  wawili kabla ya polisi kumpiga risasi na na kumuua dunia hapo hapo. Watu aliowajeruhi walikimbizwa hospital ambapo mwalimu mmoja na mwanafunzi mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani